Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Hata ningekuwa Mimi, siku hiyo pangechimbika.kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Leo nilipanda gari kariakoo naelekea mikocheni Kuna pisi Moja ni Kali nilikaa nayo.Halafu anaonekana ni muelewa Kwa maana sio mshamba hata chembe.Basi akaniuliza kaka hii gari inafika Kwa mwamposa nkamjibu ndo inapoishia akafurahi,Basi nilimuonea huruma nikakosa Cha kumshauri.
Ndo vilivopo kichwa kwako mkuu.Ulitaka umshauri Uzinzi/Zinaa.
Sikuomba namba ndio. Ubwege hilo ni maoni yakohukuomba namba?....kama hukuomba namba wewe ni bwege.
Alitakiwa amuache huyo mwanamke....kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Majinga hayo acha yapigwe.Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
"Toa ndugu toa ndugu ulichonacho weweeee, bwana anakuonaaaa mpaka moyoni kwakooo"Juzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Hahahah Mkuu Mamba huwa anafura vipi?kuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent
Hahahah Mkuu Mamba huwa anafura vipi?
Hapa duniani wajinga ni wengi sana kuliko werevuJuzi Bi. mkubwa wangu kanitembelea nyumbani, sasa yeye ni mmoja wa waumini wa kwa Mwamposa.
Baada ya salamu za hapa na pale akaomba awekewe channel ya Mwamposa aangalie ibada.
Wakati tukiangalia kulikuwa ni kipindi cha sadaka, kilichonishanga ni hii sadaka ya kujimaliza yaani toa chote ulichonacho ili ubarikiwe zaidi.
Nikamuuliza Bi mkubwa na wewe huwa unajimaliza? Akanijibu ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka.
Ufuasi Dini hauna tofauti na madawa ya kulevyaYani unaambiwa, ukijaribu kuwaelimisha...ni kama umeanzisha vita kuu ya tatu ya dunia. Bi Mkubwa mwenyewe alikuwa anatuma ma dola kwa T.B....saa hivi hilo liteni linavyompiga chenga, anakaaga kuuliza "hivi ni nini kimenipata?" (Yani na hapo, akipata tu, utaskia kachomoa sadaka ya shukrani)
Dah majamaa waliona itakuwa sookuna mke wa mtu huko kigamboni dar es salaam alipewa ahifadhi milioni kumi 10 ya maendeleo, mwanamke akaenda kujimaliza na milioni 10 kwa mwamposa, mumewe alipoitaka pesa akaambiwa nimejimaliza baada ya siku tatu ntarudishiwa, jamaa akafura kama Mamba, akazama kwa mwamposa akapiga bonge la mkwara akarudishiwa pesa yake, ni habari very recent