Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Aliyeanzisha biashara ya utumwa mreno,huko Congo brazaville ya leo,miaka ya 1400,aliwapeleka kulima miwa amerika,kipindi hicho sukari ni Kama mafuta leo,ilizua Vita miongoni mwa wazungu,meli za watumwa kuelekea Portsmouth uingereza zilijaa unyama kwa watumwa,Portsmouth harufu ya mizoga ya binaadam ilisikika meli ikiwa zaidi ya 40m baharini,hapo mzungu Wala hauziwi watumwa na mwarabu,ukitaka kujua Nani alikua mfanya biashara ya utumwa we angalia ilkwishaje,walipogundua viwanda wazungu na biashara ikaisha,acha kukariri ujinga ulioimbishwa shule ukilenga kupiga Vita utamaduni wa mwarabu
Shida ukipewa mimba na waarabu hadi akili zinapotea kwa mahaba..miji yote ya waarabu pembezoni mwa bahari au pwani ndio ilikua lango kuu la bisahara za watumwa kwenda ulaya na marekani..anzia tu pwani ya afrika mashariki utapata jibu..hao ndio walikua madalali wa wazungu katika biashara ya watumwa ..unataka kubisha nini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ukipewa mimba na waarabu hadi akili zinapotea kwa mahaba..miji yote ya waarabu pembezoni mwa bahari au pwani ndio ilikua lango kuu la bisahara za watumwa kwenda ulaya na marekani..anzia tu pwani ya afrika mashariki utapata jibu..hao ndio walikua madalali wa wazungu katika biashara ya watumwa ..unataka kubisha nini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika mashariki ilitoa watumwa laki 8 mpaka milioni,watumwa wengi walitoka afrika magharibi,dalali alikua Nani afrika magharibi?..tofauti ya dalali na mfanya biashara ni nini!?...unafikiri sawasawa!!?
 
Mchungaji akitaka gari anachangiwa na waumini ila muumini akitaka gari anafanyiwa maombi.Kweli hii dunia haina usawa
Mtafute huyu sheikh shariff majini uone anachofanya ndipo uongee , katika ukristo ukiona watu wanajaa kwa mchungaji ujue mambo yao yanaenda sio nyinyi din yenu ni kama sheria tu chunguza bila ushabiki tu
 
Naona kitumbua chako kimemwagiwa mchanga ndio maana unapayuka sana
Kwa taarifa yako mimi ni muumini tu wala sio mchungaji au padri naongea nachokiona, na wewe je??!! Unapinga kitu wakati din yenyewe haikuhusu??!! Mi naona ni vizuri ukapambana na uislam wako tu ingependeza zaidi
 
Zingatia kuwa dini zimeundwa na watu kwa masilahi yao. Unatishiwa utaenda motoni usipotoa sadaka. Ninaona watu wamepumbazwa kiasi cha kukubali bila kuhoji! Toa sadaka yako ya hiyari kwa jirani unaemfahamu kuwa ana shida, usitajirishe wajanja. Kuna mmoja kanunua helicopter kwa sadaka za watu, tunashangilia kama mazuzu.
 
Mtafute huyu sheikh shariff majini uone anachofanya ndipo uongee , katika ukristo ukiona watu wanajaa kwa mchungaji ujue mambo yao yanaenda sio nyinyi din yenu ni kama sheria tu chunguza bila ushabiki tu
Kwa mafundisho sahihi ya Uislamu anavofanya yy sio sawa
 
Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa.uliacha yote na kumfwa yye vingine utazidishiwa ni neema juu ya neema.
 
Jee wamepata mali kihalali? Maana kuna mzee mmoja hapa tegeta anamiliki fremu zaidi ya kumi zote zimepangana na kila fremu anakula zaidi ya laki 4/mwezi ila ukiweka bajaji,bodaboda,meza ya matunda au biashara yoyote ile ya kukupa kipato tena hizo biashara zinapangwa nje ya eneo lake ni reserve ya tanroad anataka alipwe kila mwezi kwa jinsi mtavyokubaliana kwa kuweka biashara ktk reserve ya tanroad ambayo si eneo lake na wala wateja wanaokuja na magari ktk hizo fremu hawajakosa parking ipo ya kutosha jee ni halali kwa mwananchi wa kawaida kula kodi ktk eneo la serikali na huyo mzee ni mkristo na kweli pesa anayo jee hiyo pesa anaipata kwa haki?
Mimi huwa najiuliza kwanini wale wa upande wako ni masikini sana na hawana elimu ya kutosha? Kwa elimu duni nadhani ni kwa sababu ya kujikita na vitu vya kusadikika badala ya elimu ya hapa hapa wanapoishi. Huyo katoza kodi kwenye road reserve mwingine anafuga majini, kudadeki.
 
Topic ni michango kanisani hapa waislamu wanaingiaje?
Hapa Tz katika top ten matajiri baada ya kufa Mengi Kuna mgalatia gani?
Acha chuki za kipumbavu ,we endelea kununua chumvi, maji,udongo,keki,kalamu,leso vya upako na "ubarikiwe sana" ---sema aimeen
Na wewe endelea kufuga majini
 
Lazima mtoe povu kama mnaviela vyenu vya mawazo, kingine mnasali makanisa gani nyie, mfano luther sadaka sio lazima na fungu la kumi ukipeleka hata 5000 kutoa tena inaweza kupita hata miiezi, katika ukristo kuna fundisha watu kufanya kazi na kutafuta pesa ndio maana ukiona michango ujue unaamshwa upambane ndio maana matajiri wengi ni wakristo duniani hao wengine ni mmoja moja fanya utafiti uone waislam wengi ni masikini kinomaa coz din yao kila kitu ni simple sasa hapo inafundisha utafutaji kuwa chini mfano angalia nchi za kiislam africa ni masikin zakutupa, angalia sasa za wakristo wengi mfano south africa au nigeria pande za lagos matajiri kibao nenda kule kaskazin kwa waislam masikin kibao so kama vp hamieni huko kwenye usimple mnakotaka

kwel hili ni lifala libogaz kabisa utakuta linaongea hv alaf maisha ya kwao ovyo acha kujimwambafy mshamba wq
 
Ngome ya Yesu Kimara Temboni
1) lipia kadi ya partenership
2)Damu ya Yesu
3) Mchango wa ujenzi
4) Kuongea na Yesu
5) Kumuona Kuhani Musa 100000
6)fungu la kumi
7) Maombi maalum 100000
8)sadaka
9) kumuona mtesi"😅wako 10000)/
10) kupata utajiri
11) kupata cheo
KuponaHIV, FIGO KUPATA MTOTO 200000
WIZI mtupu
 
Nimebahatika kupita Roma a few weeks ago kucheki utaratibu ila dah nilichokutana nacho ni balaa!

1.Kapu la kwanza general sadaka ya misaa
2.Kapu la pili mtolee mungu kwa kibahasha cha kaki
3.Kapu la 3 kumuunga mkono baba paroko
4.Mchango wa ujenzi wa kanisa hapa ilikuwa inatakiwa laki 6 asubuhi sana na mapema. Mwenye elfu 10 yeyote alitakiwa anyooshe kidole na kufuatwa alipo.

Kwa hali hio sikuitarajia ndani ya kanisa takatifu kama Roma! Kumbe wahuni tu kama akina Gwajima[emoji2956]
Ulienda kanisa gani? Parokia gani?

Hatuna huo utaratibu bwashee acha kupakaza
 
Back
Top Bottom