Ndioshule za kanisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndioshule za kanisa
Tatizo la uko bhana swala ni nyingi /day alaf unatishwatishwa sana ata raha ya dunia hauioni tenaNimeamua tu kuslim......maisha murua upande wa pili chenga nyingi
Hahahah raha ipo asee kutishiwa lugha tu ila moyo wako ukitaka tu uwe mtu wa haki hayo mengine hayasumbuiTatizo la uko bhana swala ni nyingi /day alaf unatishwatishwa sana ata raha ya dunia hauioni tena
Mkuu hujui sadaka zinaenda wapi kweli?Navyozidi kutumia logic.. naona mapungufu mengi sana makanisani na mazuri mengi sana dini ya wenzetu waislamu..
Sadaka kwenye ukrito imekaa kipigaji pigaji sana hasa fungu la kumi na sadaka zingine kibao. Angalau waislam sadaka inasisitizwa itolewe kama zaka kwa maskini, wajane, wagonjwa, na makundi mengine yenye shida ,,katika nguzo zao za uislam.
Nimeshauguza sana mama yangu muhimbili na moi.. kila mara akilazwa nikienda asubuhi kumuona naona makundi ya waislam wanatembelea wagonjwa waliolazwa na kuwapa uji na vyakula asubuhi .. sio ndugu zao bali ni utaratibu wa dini yao wanasaidia wagonjwa ambao hawana wa kuwapa vyakula.. mimi ni mkristo sijawai kuona kundi la wakristo likifanya hivyo hata siku 1 katika siku zote nilizokuwa naenda moi na muhimbili kumuona mama.
Makanisani mahubiri yanasisitiza sadaka tu na hizo sadaka hazijulikani zinaenda wapi? Maana hata shule za kanisa zilizojengwa kwa sadaka zetu bila kulipa ada mwanao anafukuzwa
Ili ukienda mbinguni ukapate mabikra 70.Nimeamua tu kuslim......maisha murua upande wa pili chenga nyingi
Unaongea kama tunashindana flani oky!! umeshindaWaarabu wengi pesa zao ni za familia na ukoo wote tofauti na wazungu mtu mmoja ana ukwasi balaa mbaka anarithisha mbwa hataki kuwapa familia yake na huko mbele tegemea kuona hao waarabu wakifilisika sana coz wazungu wameanza kutumia magari ya umeme na hata mitambo yote itatumia umeme tu, maana hao waarabu hawana kingine nchi zao ni jangwa tupu kingine mfano dubai watu wengi hawajui yale maghotofa makubwa wawekezaji wengi sio waarabu ni wazungu, wahindi na wachina fatilia mahotel yale wamiliki dubai ni nani, njoo tz wamiliki mfano peecok hotel, landmark ambayo imebadilika, palm village nk wamiliki ni nani 😁😁😀😀🤣 ukiondoa hao waaarbu kwenye mpira tz mliobaki ni vidampa tu wacheza vigodoro 😀😀😀😃🤣
Endeleeni kupigwa huku mkijiona mna muna masikio lkn hayasikii muna macho lkn hayaoniKuna nabii mmoja jijini Daresalama ukitaka kuonana nae ni laki tatu,, tutafika peponi hoi hoi
Hivi Jenerali Obasanjo ni dini gani?Dangote ni mkristo? Naomba Jibu
Sudan pamoja na kupigana au machafuko pesa yao ipo juu kuliko ya Tanzania nimetoka miezi miwili ilopitaWale Morocco ni maskini misri ni maskini sudan kwa sababu ya vita vyao libya nao kwa sababu ya vita vyao Algeria hao ni maskini hv we kweli umemaliza hata darasa la saba kweli
😅😅😅😅Umenichekesha mpaka machozi😅😅😅Mfano mkapa lijazwe hilo kapu hapo ni leo!UmenichekeshView attachment 2006242
kwa mantiki gani uniulize ilo swali?Hivi Jenerali Obasanjo ni dini gani?
yoyote tukwa mantiki gani uniulize ilo swali?
Huna swali la kujibiwa ww mna uyo nilomuuliza ilo swali hajajibu mpk saiviyoyote tu
kwani kuna ubaya ukijibu? au vp potezea tu sio lazima!Huna swali la kujibiwa ww mna uyo nilomuuliza ilo swali hajajibu mpk saivi
Nigeria na afrika magharibi waislam no zaid ya 75%,Wanalingana nusu kwa nusu coz kaskazn ni waislam na kusin ni wakristo kama hujui hilo ingawa data nyingine zinadai wakristo ni wengi hata baadhi ya wanigeria wenyewe wanadai hivyo
Hamana kutiashwa,we ukihamia Soma dini uijue,yaani kwenye Qur'an Moto umeongelewa Mara chache sanaTatizo la uko bhana swala ni nyingi /day alaf unatishwatishwa sana ata raha ya dunia hauioni tena
Uislamu unajengwa na Imani kwanza halafu mambo mengine yanafuatia ukishausoma Uislamu imani imekaa sehemu yake mbona utafurahi sanaTatizo la uko bhana swala ni nyingi /day alaf unatishwatishwa sana ata raha ya dunia hauioni tena