Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dangote ni mkristo? Naomba JibuHao ni waarabu inamaana huoni???!![emoji849][emoji849][emoji849]tunataka ngozi nyeusi tupu tena mwafrica pure sio hao coz ukitaja hao nasisi tutakutajia wazungu ambao hao waarabu hawatii maguu kwa ukwasi, angalia somalia umasikin mtupu huwezi kufananisha na south, uje sudani huwezi kufananisa na zimbabwe au zambia, ukija mali uwezi kufananisha na angola nk kazi kwako na kwanini hao waarabu wabagombaniana kukimbilia ulaya tena wanatoka nchi zao ambazo hazina vita [emoji849][emoji849][emoji849]
Acha kumponda mwenzako ww yy kashaijua haki Allah amuongoze
ivi nyinyi mnosema waislamu ni.maskini leo hii Tz yetu hii bakhresa asimamishe biashara ya unga tu tutatafutana hapa
Mo nae astopishe biashara zake tutatafutana hapa
Embu acheni ujinga wenu huo na chuki zenu za Ajabu kwa Uislamu na Waislamu
Basi kawaambie hao ulowataja walete izo bidhaa tena mbona hatuzioni masokoniMkuu kabla yao kulikua hamna unga au bidhaa kama wanazouza wao?watoto wa juzi bana mna hoja dhaifu.
Enzi za nyerere,mwinyi,mkapa bidhaa zilikuwepo za ubora wa hali ya juu kuzidi za unaowataja
Naona mjadara umegeuka kwenye kusifia dini ipi ni bora na sio maswala ya michango tena.
Basi kawaambie hao ulowataja walete izo bidhaa tena mbona hatuzioni masokoni
Halafu inaonesha Ata hujui business circle ww uyo alotakiwa ajibu hii hajajibu mna anajua hana la kujibu ni chuki tu alozipandikiza
Mimi mtu yyte anotaka kuelimishwa juu ya Uislamu mm nipo anitafute
Tutaenda hoja kwa hoja kma antka auelewe Uislamu hlf Uislamu una nafasi mtu huyu Asilimu au la mna hakuna kulazimishana katika dini ila ukishaijua haki lazima uifuate
Imefika wakati kwenda kanisani ni Kama unaenda bar, Yani unajiandaa na sadaka za kutosha na Kama unaenda na familia jiandae kutoa sio chini ya 30.Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi, niende moja kwa moja kwenye mada.
Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)
Yan imekuwa promotion ya dini sasa. Dhehebu kutokuwa na michango mingi kwa waumin wake haiwapi guarantee ya kuwa ndio dini ya kweli na wala dhehebu kuwa na michango mingi haimaanishi kuwa ndio dhehebu la uongo. Chamuhim we amin jitaidi kutafta ukwel ulipo ukiwa na akili ambayo haijafungwa na dini.Na mwingine kafikia kujitapa kusitisha bidhaa za mo na bakhresa eti tukome😂😂😂😂
Ujue Mungu naye anakaribia kufilisika hivyo sadaka ni muhimu, toeni wala msichoke "mnajiwekea hazina mbinguni"Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi, niende moja kwa moja kwenye mada.
Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)
Huyu naye ni walewale wanaouza Neno La Mungu, historia yake tunayo...Nendeni kwa mtumishi huyu, sadaka sio lazima🐒View attachment 2006222
Hz ni laana unajitakiaUjue Mungu naye anakaribia kufilisika hivyo sadaka ni muhimu, toeni wala msichoke "mnajiwekea hazina mbinguni"
Account ya Mungu nitaileta hapa mda si mrefu muwe mnaweka sadaka zenu na kubarikiwa ili msitoe moja kwa moja wezi na nondo wataziharibu
shule za kanisaMnachanga kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa weeee..hatimaye kanisa Linamalizika mnahamia.unakuja mchango wa kujenga ukumbi/Shule au Kitega uchumi cha kanisa,kikishajengwa mnahudumiwa kama wateja kwenye hivyo vitengo..Wakristo Mbinguni tutaingia Tukiwa tumechoka mbaya