Pumigogolo
Member
- Oct 29, 2014
- 49
- 42
Tatizo la msingi ni kuhimiza watu kutoa sadaka badala ya kuwafundisha kwa nini kutoa sadaka. Laiti watu wangefunzwa ipasavyo isingetumika nguvu kuhamasisha/kushawishi watu watoe sadaka.
Kadhalika kusingekuwa na waamini/waumini wanaokuja kulalama habari za sadaka hadi JF. Hili ni ombwe la mafundishoya dini.
Kadhalika kusingekuwa na waamini/waumini wanaokuja kulalama habari za sadaka hadi JF. Hili ni ombwe la mafundishoya dini.