Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Tatizo la msingi ni kuhimiza watu kutoa sadaka badala ya kuwafundisha kwa nini kutoa sadaka. Laiti watu wangefunzwa ipasavyo isingetumika nguvu kuhamasisha/kushawishi watu watoe sadaka.
Kadhalika kusingekuwa na waamini/waumini wanaokuja kulalama habari za sadaka hadi JF. Hili ni ombwe la mafundishoya dini.
 
Unajua watu hawafanyi utafiti. Ikiitwa daftari la Matajiri hapa Tanzania nadhani Waislamu wataongoza. Hawa wengine wanajiona matajiri sababu ya kujaza pombe kwenye sherehe zao.
Amini tena
 
Nimebahatika kupita Roma a few weeks ago kucheki utaratibu ila dah nilichokutana nacho ni balaa!

1.Kapu la kwanza general sadaka ya misaa
2.Kapu la pili mtolee mungu kwa kibahasha cha kaki
3.Kapu la 3 kumuunga mkono baba paroko
4.Mchango wa ujenzi wa kanisa hapa ilikuwa inatakiwa laki 6 asubuhi sana na mapema. Mwenye elfu 10 yeyote alitakiwa anyooshe kidole na kufuatwa alipo.

Kwa hali hio sikuitarajia ndani ya kanisa takatifu kama Roma! Kumbe wahuni tu kama akina Gwajima🤩
Usipotoa wanakufukuza kanisani? Au wanakupekua?
 
Acha ubishi wewe tafuta data wewe au ingia wikipedia mbaka ya tz wanakuonesha
Tz sensa ya mwisho yenye kioengele Cha dini ilikua mwaka 1958,waislam walikua 60%+,mwaka 1968(Sina hakika Sana na mwaka) serikali ikafanya sensa,wakadai waislam no 30,wakapeleka in,kule wakawauliza Hawa waislam wamekutwa na janga gani mpaka wamepungua hivi!!?..Hadi leo tz halina kioengele Cha dini,Africa magharibi uislam umeingilia bara tokea Sahel huko,Karne nyingi nyuma,ikawa dini tawala,ukristo ukaja na utumwa baadae ukiingilia pwani,nchi gani ya afrika magharibi yenye wakiristo wengi kuliko waislam!??..labda cameroon
 
Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi, niende moja kwa moja kwenye mada.

Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)

Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.

Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.

Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?

Nawasilisha.
mkuu hakuna mtu aliyewahi kufilisika kwa kutoa sadaka, endelea kukunja mikono yako tu
 
Waarabu wengi pesa zao ni za familia na ukoo wote tofauti na wazungu mtu mmoja ana ukwasi balaa mbaka anarithisha mbwa hataki kuwapa familia yake na huko mbele tegemea kuona hao waarabu wakifilisika sana coz wazungu wameanza kutumia magari ya umeme na hata mitambo yote itatumia umeme tu, maana hao waarabu hawana kingine nchi zao ni jangwa tupu kingine mfano dubai watu wengi hawajui yale maghotofa makubwa wawekezaji wengi sio waarabu ni wazungu, wahindi na wachina fatilia mahotel yale wamiliki dubai ni nani, njoo tz wamiliki mfano peecok hotel, landmark ambayo imebadilika, palm village nk wamiliki ni nani [emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji1787] ukiondoa hao waaarbu kwenye mpira tz mliobaki ni vidampa tu wacheza vigodoro [emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji1787]
Watu wanasema mwarabu eti tajiri kisa mafuta..sawa ila mwambie auze mafuta kwa sarafu tofauti na dolla ya marekani..huo ndio utakua mwisho wa nchi yeyoye ya kiarabu kuwa na maisha mazuri..uliza libya..iran na wengine kilichowakuta ni nini..westerns ni levo nyingine.

All roads lead to rome

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh kumbe ndio mnavyofundishana huu ujinga kua huwezi kuishinda dhambi kwa matendo aisee , kwa hiyo afadhali uwe mlevi , mzinzi , mkabaji unafanya maovu yote , kisha unaamini kua ukimuamini yesu utaokolewa , kwa style hii hamuwezi kuacha maovu aisee
Hujaelewa..namaanisha mwanadamu hata afanyeje lazima tu ataangukia dhambini..iwe kwa kutenda..kuwaza au kunena..manake ngumu sana kuupata utakatifu duniani hapa mana tuna asili ya dhambi tangu kuumbwa kwetu...mind you hakuna dhambi ndogo wala kubwa..aliyesema usiibe ndiye aliyesema usiseme uongo wala kutamani mke wa njirani yako.

Tunapambana kupunguza dhambi kwa kushika na kuzitii amri za Mungu..ila kupitia damu ya Yesu kristo tunahesabiwa haki na kufutiwa makosa.

Kama hujaelewa basi huo utakua ukorofi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz sensa ya mwisho yenye kioengele Cha dini ilikua mwaka 1958,waislam walikua 60%+,mwaka 1968(Sina hakika Sana na mwaka) serikali ikafanya sensa,wakadai waislam no 30,wakapeleka in,kule wakawauliza Hawa waislam wamekutwa na janga gani mpaka wamepungua hivi!!?..Hadi leo tz halina kioengele Cha dini,Africa magharibi uislam umeingilia bara tokea Sahel huko,Karne nyingi nyuma,ikawa dini tawala,ukristo ukaja na utumwa baadae ukiingilia pwani,nchi gani ya afrika magharibi yenye wakiristo wengi kuliko waislam!??..labda cameroon
Kuna mtu aliye fanya biashara ya utumwa kama mwarabu humu duniani..waarabu ndio walikua madalali wakubwa wa biashara ya utumwa..kwa roho mbaya zao wakawa hadi wana hasi wanaume wa kiafrika wakiwapeleka utumwa huko uarabuni..bora mzugu yeye alikua anawapigisha kazi za kutosha..ila kuzaliana waliruhusiwa.

Mwarabu ni mnyama sio binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisali kwa MWAIPOSA wakati wa kukanyaga mafuta, SADAKA zilikuwa hivi, 1 SADAKA ya TV na Redio hii anaaza 50,000 mpaka 5,000, 2 SADAKA ya kawaida, 3 SADAKA ya mwezi November ili mwezi huu uwe salama, 4 SADAKA ya Shukrani ya Mungu kukulinda, 5 SADAKA ya Kukanyaga MAFUTA hii alianzia 50,000 mpaka 1,000. Sasa huu si uwezi. Tangu siku hiyo sijarudi Tena kanisani kwake. Jamani tunaibiwa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sadaka ya mwezi November ili uwe salama. Walah mbinguni ni mbali sana aisee
 
Msicho kijua nikutofautisha makanisa yenye huduma za uwongo na makanisa yenye uduma za kweli yapo makanisa madogo ambayo yanatamani kufika katika viwango Bora .. kanisa zipo zinazo jikita kwenyo huduma yakuabudu tu na zipo kanisa zinazojikita kutoa huduma nyingi yani zitoe huduma yakiroho na kijamii

Kua mshirika wa kanisa fulani nilazima ushiriki katika kujenga maendeleo ya kanisa lako kanisa likiitaji kufungua radio ,shule , lazima kila mshirika ashiriki katika kufanikisha zoezi .. kila mtumishi wamungu wa kweli hutamani kumtangaza mungu kwa UKUBWA wake nandomana huleta miradi mikubwa kanisani ilikufanikisha ilo .. mambo Kama radio , tv , shule , kwaya , hospital ivi nivitu ambavyo humtangaza MUNGU kwa UKUBWA

Zile sadaka mnazo ziona nyingi hutolewa ili kufanikisha huduma zakanisa husika ili zisikwame .. unapotoa lazima ujue unamtolea MUNGU kwakua ukisema Ni Ela za mchungaji ungefunga safari ukampelekea nyumbani kwake .. ila mahdam unaitoa madhabauni iyo inaesabika Ni sadaka .. namungu anaeshim ilo

Kumbukeni Kuna kumuabudu MUNGU na Kuna kujenga UFALME wa MUNGU Sasa shida yenu mnapenda tu kumuabudu MUNGU ila ampendi kujenga UFALME wa MUNGU ..

MUNGU anaposema nijengeeni hekalu humaanisha kumjengea UFALME wa apa duniani .. ivyo HEKALU lazima iwe kubwa ilikujenga UFALME mkubwa ndomana watumishi hu dream big kwakuongeza huduma zaziada zakijamii ili kukusanya watu wengi ambao hao ndio wataleta vizazi na vizazi kuendeleza ilo HEKALU la MUNGU ..

Wimbo mnaoimba wakua KANISA Ni utapeli Ni agenda ya shetani kujizolea waumini na kafanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana ..

Kuingia kanisani bila kutoa sadaka au mchango wowote nisawa nakua nafamilia afu usitoe huduma staiki Kama chakula , mavazi , Ela ya matibabu , Ela ya maendeleo ya familia .. Kama kujenga nyumba kununua gari nk. Ivyo iyo familia yako itakua yaki choko Sana ..

Mnaonga mademu maela mengi ila kwa MUNGU mnaisi mnaibiwa ... Praise the Lord
Huko mwishoni umeandika vizuri sana
 
Si kila kanisa ni kanisa,mengine ni mabehewa ya kusafirishia watu kuelekea kuzimu.

Lazima mtoe povu kama mnaviela vyenu vya mawazo, kingine mnasali makanisa gani nyie, mfano luther sadaka sio lazima na fungu la kumi ukipeleka hata 5000 kutoa tena inaweza kupita hata miiezi, katika ukristo kuna fundisha watu kufanya kazi na kutafuta pesa ndio maana ukiona michango ujue unaamshwa upambane ndio maana matajiri wengi ni wakristo duniani hao wengine ni mmoja moja fanya utafiti uone waislam wengi ni masikini kinomaa coz din yao kila kitu ni simple sasa hapo inafundisha utafutaji kuwa chini mfano angalia nchi za kiislam africa ni masikin zakutupa, angalia sasa za wakristo wengi mfano south africa au nigeria pande za lagos matajiri kibao nenda kule kaskazin kwa waislam masikin kibao so kama vp hamieni huko kwenye usimple mnakotaka
Naona kitumbua chako kimemwagiwa mchanga ndio maana unapayuka sana
 
Ni bora mpungue masikin nyinyi mnapenda vya bure ndio maana waislam wengi ni masikini kinoma fanya utafiti coz ukristo unataka watu wafanye kazi yaani wajitume
Mchungaji akitaka gari anachangiwa na waumini ila muumini akitaka gari anafanyiwa maombi.Kweli hii dunia haina usawa
 
Kwa hili nakupinga Sio kweli dini ya kiisilamu imehimiza sana kufanya kazi na kufanya kazi ni sehemu ya ibada ni kweli waisilamu ni maskini sababu sio wengi waliosoma sana hizo zaka zenyewe hazitolewi kihalisia lkn sio maskini kama unavyosema la muhimu ukifanya wema unajifanyia mwenyewe na ukifanya ubaya vile vile unajifanyia mwenyewe ,dini zote zimehimiza hivyo .
Ni masikini kwa sababu anachukua kile ambacho ni haki yake wala hafanyi ujanja ujanja tofauti na upande wa pili chukulia mfano lile hekalu la kakobe unaweza kuta kuna baadhi ya waumini waliochangia ktk ujenzi wa lile hekalu hata kibanda cha matope hawana
 
Wewe nawe ni kilaza yaani unataja hao waarabu waliokimbia kwao huko, hivi ukiondoa hao sisi ngozi nyeusi kuna mtu anawazidi wakristo 😁😁😀😀🤣 tembea uone utachekwa, nakupa mfano nenda mikoa hii , iringa, mbeya, arusha, hata dar, fanya kujionea uswahilini vijumba vimechoka wote hao majina yao ni ya alla sasa tembea mfano tabata, mbezi masaki huko majina ni wakristo wengi sana na matajiri sitaki kuongea sana fanya utafiti wako coz hata waziri mkuu juzi tu kaongea hilo kwenye msikiti
Jee wamepata mali kihalali? Maana kuna mzee mmoja hapa tegeta anamiliki fremu zaidi ya kumi zote zimepangana na kila fremu anakula zaidi ya laki 4/mwezi ila ukiweka bajaji,bodaboda,meza ya matunda au biashara yoyote ile ya kukupa kipato tena hizo biashara zinapangwa nje ya eneo lake ni reserve ya tanroad anataka alipwe kila mwezi kwa jinsi mtavyokubaliana kwa kuweka biashara ktk reserve ya tanroad ambayo si eneo lake na wala wateja wanaokuja na magari ktk hizo fremu hawajakosa parking ipo ya kutosha jee ni halali kwa mwananchi wa kawaida kula kodi ktk eneo la serikali na huyo mzee ni mkristo na kweli pesa anayo jee hiyo pesa anaipata kwa haki?
 
Ni bora mpungue masikin nyinyi mnapenda vya bure ndio maana waislam wengi ni masikini kinoma fanya utafiti coz ukristo unataka watu wafanye kazi yaani wajitume
Topic ni michango kanisani hapa waislamu wanaingiaje?
Hapa Tz katika top ten matajiri baada ya kufa Mengi Kuna mgalatia gani?
Acha chuki za kipumbavu ,we endelea kununua chumvi, maji,udongo,keki,kalamu,leso vya upako na "ubarikiwe sana" ---sema aimeen
 
Kuna mtu aliye fanya biashara ya utumwa kama mwarabu humu duniani..waarabu ndio walikua madalali wakubwa wa biashara ya utumwa..kwa roho mbaya zao wakawa hadi wana hasi wanaume wa kiafrika wakiwapeleka utumwa huko uarabuni..bora mzugu yeye alikua anawapigisha kazi za kutosha..ila kuzaliana waliruhusiwa.

Mwarabu ni mnyama sio binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyeanzisha biashara ya utumwa mreno,huko Congo brazaville ya leo,miaka ya 1400,aliwapeleka kulima miwa amerika,kipindi hicho sukari ni Kama mafuta leo,ilizua Vita miongoni mwa wazungu,meli za watumwa kuelekea Portsmouth uingereza zilijaa unyama kwa watumwa,Portsmouth harufu ya mizoga ya binaadam ilisikika meli ikiwa zaidi ya 40m baharini,hapo mzungu Wala hauziwi watumwa na mwarabu,ukitaka kujua Nani alikua mfanya biashara ya utumwa we angalia ilkwishaje,walipogundua viwanda wazungu na biashara ikaisha,acha kukariri ujinga ulioimbishwa shule ukilenga kupiga Vita utamaduni wa mwarabu
 
Back
Top Bottom