Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Unachekesha sana wewe hivi bado unajikinga kwenye ngozi ya hao waarabu waliokimbia kwao??!! Eti matajiri wakubwa fanya utafiti hivi unajua tz kuna mabilionea wangapi???!tafuta gazeti la mwananchi la juzi uone, ukitoa hao waarabu wako mliobaki ni wacheza vigodoro tu, hilo hata waziri mkuu kaongea juzi kwenye msikiti, wakristo matajiri wengi kinoma hawajioneshi hovyo tembea mikoani halafu fanya utafiti bila ushabiki ndugu
Hawajionyeshi ila umewaona we kweli choko hodari
 
Wale morocco ni maskini misri ni maskini sudan kwa sababu ya vita vyao libya nao kwa sababu ya vita vyao Algeria hao ni maskini hv we kweli umemaliza hata darasa la saba kweli
Hao ni waarabu inamaana huoni???!!🙄🙄🙄tunataka ngozi nyeusi tupu tena mwafrica pure sio hao coz ukitaja hao nasisi tutakutajia wazungu ambao hao waarabu hawatii maguu kwa ukwasi, angalia somalia umasikin mtupu huwezi kufananisha na south, uje sudani huwezi kufananisa na zimbabwe au zambia, ukija mali uwezi kufananisha na angola nk kazi kwako na kwanini hao waarabu wabagombaniana kukimbilia ulaya tena wanatoka nchi zao ambazo hazina vita 🙄🙄🙄
 
Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi, niende moja kwa moja kwenye mada.

Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)

Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.

Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.

Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?

Nawasilisha.
Mpaka inakuwa kero kabisa,,,Sasa sadaka unaigawa gawa kwenye mafungu.Mimi naona Bora kuweka sadaka pamoja maana mapato yote ni kwa ajili ya kazi ya Bwana Sasa inakuwaje kuwe na mafungu,,,,Baadhi ya Makanisa yamekuwa Kama fursa/biashara zingine tuu.
 
Hao ni waarabu inamaana huoni???!!🙄🙄🙄tunataka ngozi nyeusi tupu tena mwafrica pure sio hao coz ukitaja hao nasisi tutakutajia wazungu ambao hao waarabu hawatii maguu kwa ukwasi, angalia somalia umasikin mtupu huwezi kufananisha na south, uje sudani huwezi kufananisa na zimbabwe au zambia, ukija mali uwezi kufananisha na angola nk kazi kwako na kwanini hao waarabu wabagombaniana kukimbilia ulaya tena wanatoka nchi zao ambazo hazina vita 🙄🙄🙄
Dangote mwarabu wa italia
 
Ni bora mpungue masikin nyinyi mnapenda vya bure ndio maana waislam wengi ni masikini kinoma fanya utafiti coz ukristo unataka watu wafanye kazi yaani wajitume
Acha kumponda mwenzako ww yy kashaijua haki Allah amuongoze


ivi nyinyi mnosema waislamu ni.maskini leo hii Tz yetu hii bakhresa asimamishe biashara ya unga tu tutatafutana hapa
Mo nae astopishe biashara zake tutatafutana hapa

Embu acheni ujinga wenu huo na chuki zenu za Ajabu kwa Uislamu na Waislamu
 
Samahani baba mchungaji kama sio mwenyekiti wa jumuiya/parokia Kwaiyo qatar na nchi za kiarabu zinazidiwa na ninyi?
Ukiristo ni kichaka cha kutaftia heshima ya kuzikwa hamna ziada kwa hao matajiri.
kwa maskini ni sehem ya kutoa sadaka iwezekanavyo ili ubarikiwe urudishiwe maradufu
na ukishindwa kurudishiwa duniani tunakuambia utarudishiwa mbinguni.
Kuna watu wanapesa kuzid hata huyo elon musk wako huko uarabuni wametulizana tu.
Waarabu wengi pesa zao ni za familia na ukoo wote tofauti na wazungu mtu mmoja ana ukwasi balaa mbaka anarithisha mbwa hataki kuwapa familia yake na huko mbele tegemea kuona hao waarabu wakifilisika sana coz wazungu wameanza kutumia magari ya umeme na hata mitambo yote itatumia umeme tu, maana hao waarabu hawana kingine nchi zao ni jangwa tupu kingine mfano dubai watu wengi hawajui yale maghotofa makubwa wawekezaji wengi sio waarabu ni wazungu, wahindi na wachina fatilia mahotel yale wamiliki dubai ni nani, njoo tz wamiliki mfano peecok hotel, landmark ambayo imebadilika, palm village nk wamiliki ni nani 😁😁😀😀🤣 ukiondoa hao waaarbu kwenye mpira tz mliobaki ni vidampa tu wacheza vigodoro 😀😀😀😃🤣
 
Lazima mtoe povu kama mnaviela vyenu vya mawazo, kingine mnasali makanisa gani nyie, mfano luther sadaka sio lazima na fungu la kumi ukipeleka hata 5000 kutoa tena inaweza kupita hata miiezi, katika ukristo kuna fundisha watu kufanya kazi na kutafuta pesa ndio maana ukiona michango ujue unaamshwa upambane ndio maana matajiri wengi ni wakristo duniani hao wengine ni mmoja moja fanya utafiti uone waislam wengi ni masikini kinomaa coz din yao kila kitu ni simple sasa hapo inafundisha utafutaji kuwa chini mfano angalia nchi za kiislam africa ni masikin zakutupa, angalia sasa za wakristo wengi mfano south africa au nigeria pande za lagos matajiri kibao nenda kule kaskazin kwa waislam masikin kibao so kama vp hamieni huko kwenye usimple mnakotaka
Mkuu usiende mbali tuje kwenye uhalisia hapa kwetu bana , mbona bongo matajiri wakubwa wote ni waislam inakuwaje hapo
 
Waarabu wengi pesa zao ni za familia na ukoo wote tofauti na wazungu mtu mmoja ana ukwasi balaa mbaka anarithisha mbwa hataki kuwapa familia yake na huko mbele tegemea kuona hao waarabu wakifilisika sana coz wazungu wameanza kutumia magari ya umeme na hata mitambo yote itatumia umeme tu, maana hao waarabu hawana kingine nchi zao ni jangwa tupu kingine mfano dubai watu wengi hawajui yale maghotofa makubwa wawekezaji wengi sio waarabu ni wazungu, wahindi na wachina fatilia mahotel yale wamiliki dubai ni nani, njoo tz wamiliki mfano peecok hotel, landmark ambayo imebadilika, palm village nk wamiliki ni nani [emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji1787] ukiondoa hao waaarbu kwenye mpira tz mliobaki ni vidampa tu wacheza vigodoro [emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji1787]
Sasa kurithisha mbwa ni akili hizo ww
Embu fikiria vizuri hlf uje na hoja iliyoshiba
mbwa akirithishwa ataenda kutoa pesa bank? atajua zipo bei gni? Ayo maisha walonayo wazungu ni maisha ya kijinga sana.Embu fikiria kwanza
 
Hujatumia logic vizuri kwa sababu hujawahi kufikiria nje ya mtaa wako pia.
Navyozidi kutumia logic.. naona mapungufu mengi sana makanisani na mazuri mengi sana dini ya wenzetu waislamu..

Sadaka kwenye ukrito imekaa kipigaji pigaji sana hasa fungu la kumi na sadaka zingine kibao. Angalau waislam sadaka inasisitizwa itolewe kama zaka kwa maskini, wajane, wagonjwa, na makundi mengine yenye shida ,,katika nguzo zao za uislam.

Nimeshauguza sana mama yangu muhimbili na moi.. kila mara akilazwa nikienda asubuhi kumuona naona makundi ya waislam wanatembelea wagonjwa waliolazwa na kuwapa uji na vyakula asubuhi .. sio ndugu zao bali ni utaratibu wa dini yao wanasaidia wagonjwa ambao hawana wa kuwapa vyakula.. mimi ni mkristo sijawai kuona kundi la wakristo likifanya hivyo hata siku 1 katika siku zote nilizokuwa naenda moi na muhimbili kumuona mama.

Makanisani mahubiri yanasisitiza sadaka tu na hizo sadaka hazijulikani zinaenda wapi? Maana hata shule za kanisa zilizojengwa kwa sadaka zetu bila kulipa ada mwanao anafukuzwa
 
Hiyo ndio sadaka ya kweli.
Kwangu mm mambo yakiwa sawa utaratibu wangu utakuwa ni kujikusanyia sadaka na zaka yangu ninaenda kuifanyia shopping ya vitu vya muhim then naenda kuvigawa kwa wahitaji(gerezani, vituo vya watoto yatima, hospital nk)
 
Hujawahi kusikia JPM anashukuriwa na Bakwata kwa kurudisha viwanja vilivyouzwa na kuwajengea msikiti?
Dini sahihi na ya kweli ni Waislamu tu hawana makuu kbs.. haya mengine na hizi kanisa za mabati ndio balaaa. Mshika pesa ni mke wa mchungaji. Kuna siku niliwafuma wazee wa kanisa wakigawana mpunga Mwambao restaurant Dom.
 
Naona mjadara umegeuka kwenye kusifia dini ipi ni bora na sio maswala ya michango tena.
 
Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi, niende moja kwa moja kwenye mada.

Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)

Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.

Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.

Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?

Nawasilisha.
Mbali na sadaka hata ibada zenyewe kwenye madhehebu haya zimekuwa zikiacha maswali mengi ya kujiuliza. Lakini swali moja kubwa ninalojiuliza na kukosa majibu ni kitu gani kimetutokea sisi waumini? Pamoja na kwamba tuna akili zetu timamu, watu wamekuwa wakiaminishwa vitu vya ajabu. Anzia kwenye pastors kujiita mitume, manabii etc. Njoo kwenye vitambaa, mafuta, juice, chumvi na vingine vingi eti ni vya upako.! Kuna makanisa/ madhehebu mengine watu wanacharazwa fimbo au wanaambiwa wavue nguo za ndani ziombewe! Ukija kwenye sadaka hapo ndiyo usiseme. Mwisho wa yote watu wanachukua mafao yao baada ya kustaafu wanapeleka kwa mitume na manabii na mwisho wanaishia kuishi kwa dhiki! Mungu atunusuru.
 
Hichi kitisho ndicho kinachowafanya watu wengi waendelee kubakia katika dini, wengi wakiweza kukivuka hiki dini zitapoteza watu wengi sana.
Hivi vitu vya kijamii,ukiamua kuwa Bandidu, ufahamu consequences na repercussions zake...
Ni vizuri kutambua mbeleni,kwa kuchukua uamuzi huo, athari zake kwangu na familia yangu ikoje..
Kuna watu wanakuwa na misimamo dhaifu,huduma za kanisa anahitaji,ushiriki wake hafifu,alafu utegemee mteremko, lazima either wewe mwenyewe au familia yako itaadhirika kwa namna moja au nyingine.



Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Nimebahatika kupita Roma a few weeks ago kucheki utaratibu ila dah nilichokutana nacho ni balaa!

1.Kapu la kwanza general sadaka ya misaa
2.Kapu la pili mtolee mungu kwa kibahasha cha kaki
3.Kapu la 3 kumuunga mkono baba paroko
4.Mchango wa ujenzi wa kanisa hapa ilikuwa inatakiwa laki 6 asubuhi sana na mapema. Mwenye elfu 10 yeyote alitakiwa anyooshe kidole na kufuatwa alipo.

Kwa hali hio sikuitarajia ndani ya kanisa takatifu kama Roma! Kumbe wahuni tu kama akina Gwajima[emoji2956]
Makanisa yetu formal i.e Roman Catholic,Kkkt,Moravian(KMT),Anglican,AIC ndio yanaongoza kwa michango.

Na ukiwa unajulikana kanisani basi wewe utatoa michango hadi basi.
Kuna muda chombo kinapita mara 2,maana mwanzo hazikutosha.
Basi hiyo awamu ya pili wale watu famous famous ni mtatoa.

Kutoa sadaka ni jambo jema,si vibaya,
Ila sadaka zetu kuna mfumo kanisa limeweka kutangazana,na baadhi ya waumini wanafeel proud kujitangaza ama kutangazwa(Siwalaumu waumini maana huo mfumo wameukuta ukiapply),na hii ni kinyume kabisa na utaratibu ambao Mungu anataka tutoe sadaka.
 
Ukristo unahubiri kusaidia wajane na wenye uhitaji utakua husomi biblia wewe..halafu uislam ni dini inayoamini kuokolewa kwa matendo..hawana neema wala haki ya kuokolewa...hivyo hudhani matendo yanatosha kiwaokoa kitu ambacho sicho..mana asili ya mwanadamu ni dhambi hivyo hata ufanyeje huwezi ishinda zambi kwa matendo.

Njia pekee ya wokovu ni kupitia imani na haki ya kristo Yesu.

Usipotoke ndugu..shetani anamitego mingi..hata hivyo sadaka hujalazimisha kutoa..toa kadri ulivyobarikiwa.

#MaendeleoHayanaChama
Duuuh kumbe ndio mnavyofundishana huu ujinga kua huwezi kuishinda dhambi kwa matendo aisee , kwa hiyo afadhali uwe mlevi , mzinzi , mkabaji unafanya maovu yote , kisha unaamini kua ukimuamini yesu utaokolewa , kwa style hii hamuwezi kuacha maovu aisee
 
Ukiendelea kidogo itakuja breakfast na dinner pia[emoji23]
Mimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
 
Duuuh kumbe ndio mnavyofundishana huu ujinga kua huwezi kuishinda dhambi kwa matendo aisee , kwa hiyo afadhali uwe mlevi , mzinzi , mkabaji unafanya maovu yote , kisha unaamini kua ukimuamini yesu utaokolewa , kwa style hii hamuwezi kuacha maovu aisee
Hakuna ukristu unaofundisha hicho kitu huyo kaamua kupotosha tu hakuna hajualo.
 
Back
Top Bottom