Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hawajionyeshi ila umewaona we kweli choko hodariUnachekesha sana wewe hivi bado unajikinga kwenye ngozi ya hao waarabu waliokimbia kwao??!! Eti matajiri wakubwa fanya utafiti hivi unajua tz kuna mabilionea wangapi???!tafuta gazeti la mwananchi la juzi uone, ukitoa hao waarabu wako mliobaki ni wacheza vigodoro tu, hilo hata waziri mkuu kaongea juzi kwenye msikiti, wakristo matajiri wengi kinoma hawajioneshi hovyo tembea mikoani halafu fanya utafiti bila ushabiki ndugu