barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Alhamisi Rais anaapishwa....
Baada ya hapo tunafunga dirisha la siasa na kurudi site kujenga nchi..
Baada ya hapo tunafunga dirisha la siasa na kurudi site kujenga nchi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amsterdam fala tuWakati huo huo mt. Amsterdam anatoka povu ughaibuni...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alisogea mpaka jijini Istanbul kujindaa na matokeo.Wakati huo huo mt. Amsterdam anatoka povu ughaibuni...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi jamana printer machine zao ni kubwa sanaWeka tamko hapa acha porojo.
Hata kama SADC wakipongeza sisi watanzania tunasema hapana!
"aamin"Mungu ibaliki Tanzania, Mungu CHADEMA , Mungu mbariki Lissu.
Kesho sio MbaliWeka tamko hapa acha porojo.
Hata kama SADC wakipongeza sisi watanzania tunasema hapana!
TutawavunjaaWeka tamko hapa acha porojo.
Hata kama SADC wakipongeza sisi watanzania tunasema hapana!
Duuh.. kumbe SADC ni hamnazo!Jukwaa la Tume za Uchaguzi la SADC limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuendesha uchaguzi halali.
Jukwaa hilo linaundwa na tume za uchaguzi za mataifa 14 ya SADC.
Tamko lililotolewa na jukwaa hilo kutoka makao makuu yake yaliyopo Botswana, linasema NEC na ZEC zimeendesha uchaguzi huru, wa haki, unaoaminika na uliogubikwa na uwazi wa hali ya juu.
Aidha, jukwaa hilo limezitaka nchi wanachama wa SADC kujifunza kiwango cha juu cha demokrasia kilichooneshwa na Tanzania na Zanzibar kwenye chaguzi kuu zake za mwaka 2020.
Wewe unasema hapana si watanzania woteWeka tamko hapa acha porojo.
Hata kama SADC wakipongeza sisi watanzania tunasema hapana!
Nyakati hizi ndo mnataja watanzania lakini mkishakabidhiwa madaraka hamuwakumbuki tena.Mbona Watanzania wenyewe walikuwepo kwenye vituo vya kupigia kura? Wameona kura kwenye mabegi zikiletwa kwenye vituo, wameona mawakala wa vyama vya upinzani wakifukuzwa, wameona mawakala wa vyama vya upinzani wakinyimwa utambulisho, nk. Picha zimepigwa na video pia?
Hata kabla ya uchaguzi, Watanzania waliona vyombo vya habari zikitangaza habari za CCM na Magufuli tu, wagombea wa vyama vya upinzani wakienguliwa wengine kwa kutekwa ili muda wa kurudisha fomu upite, nk. Hawa SADC ndio nani na wakaa nchi gani? Kama ubeberu upo basi ndio huu wa SADC kuja kuwaambia Watanzania uchaguzi eti ulikuwaje. Ni kichekesho.
Aisee!! Kwa akili hizi, kuna kila dalili baadaye ugoko wako kufungwa, 'muhogo'!..., Mungu CHADEMA , ....
Original taarifa tafadhali. Usituwekee kopi ya tafsiri isyo na uhakika.Jukwaa la Tume za Uchaguzi la SADC limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuendesha Uchaguzi halali.
Jukwaa hilo linaundwa na tume za uchaguzi za mataifa 14 ya SADC.
Tamko lililotolewa na jukwaa hilo kutoka makao makuu yake yaliyopo Botswana, linasema NEC na ZEC zimeendesha uchaguzi huru, wa haki, unaoaminika na uliogubikwa na uwazi wa hali ya juu.
Aidha, jukwaa hilo limezitaka nchi wanachama wa SADC kujifunza kiwango cha juu cha demokrasia kilichooneshwa na Tanzania na Zanzibar kwenye chaguzi kuu zake za mwaka 2020.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji4]Jukwaa la Tume za Uchaguzi la SADC limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuendesha Uchaguzi halali.
Jukwaa hilo linaundwa na tume za uchaguzi za mataifa 14 ya SADC.
Tamko lililotolewa na jukwaa hilo kutoka makao makuu yake yaliyopo Botswana, linasema NEC na ZEC zimeendesha uchaguzi huru, wa haki, unaoaminika na uliogubikwa na uwazi wa hali ya juu.
Aidha, jukwaa hilo limezitaka nchi wanachama wa SADC kujifunza kiwango cha juu cha demokrasia kilichooneshwa na Tanzania na Zanzibar kwenye chaguzi kuu zake za mwaka 2020.
Jukwaa la Tume za Uchaguzi la SADC limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuendesha Uchaguzi halali.
Jukwaa hilo linaundwa na tume za uchaguzi za mataifa 14 ya SADC.
Tamko lililotolewa na jukwaa hilo kutoka makao makuu yake yaliyopo Botswana, linasema NEC na ZEC zimeendesha uchaguzi huru, wa haki, unaoaminika na uliogubikwa na uwazi wa hali ya juu.
Aidha, jukwaa hilo limezitaka nchi wanachama wa SADC kujifunza kiwango cha juu cha demokrasia kilichooneshwa na Tanzania na Zanzibar kwenye chaguzi kuu zake za mwaka 2020.
Original taarifa tafadhali. Usituwekee kopi ya tafsiri isyo na uhakika.
Mungu yupi?Mungu ibaliki Tanzania, Mungu CHADEMA , Mungu mbariki Lissu.