Uchaguzi 2020 SADC yaipongeza Tanzania kwa kuendesha Uchaguzi halali

Uchaguzi 2020 SADC yaipongeza Tanzania kwa kuendesha Uchaguzi halali

Weka tamko hapa acha porojo.

Hata kama SADC wakipongeza sisi watanzania tunasema hapana!
Sema wewe zuzu mwenyewe sio watanzani tupo 12M tuliompa kura Magufuli
 
Umeona ripoti ya wazungu??? Yaani hata wazungu wameona ubatili, wewe hujauona?? Jiwe alikataliwa kwa kiwango kikubwa Sana.
Kwani mpaka mzungu waseme ndio uone ni sawa au la.
Hebu jiamini na wewe hata kidogo. Watanzania tumesha amua wewe tuliza matako subiri 2025.
 
Shida Wazungu hawaishi Tanzania, kuna watu kibao wanaomkubali Magufuli wengine hawako hata mitandaoni ukipata bahati ya kukutana na watu mbalimbali/tofautitofauti unaweza ukashangaa idadi ya watu wanaomkubali!! Ndo maana nikasema ni heri kusema baadhi ya Watanzania
Siyo kwamba mm makazi yangu ni mtandaoni. Unaijua hili??
 
Watanzania tumesha amua
Ni kweli watanzania tumeamua kuwa kuanzia kesho tutaanza kufanya maandamano ya kumuondoa mhutu muuwaji na mvunja katiba huyu. Ambaye amedhulumu haki za watu.
 
Ni kweli watanzania tumeamua kuwa kuanzia kesho tutaanza kufanya maandamano ya kumuondoa mhutu muuwaji na mvunja katiba huyu. Ambaye amedhulumu haki za watu.
Hayo maandamano nyie watu 1M ndio mmeamua kumbuka kuna watu 12M nyuma ya jeshi la police. Tulio mchagua Magufuli.
Maanadamano ni nyie na huyo shoga wenu
 
Hayo maandamano nyie watu 1M ndio mmeamua kumbuka kuna watu 12M nyuma ya jeshi la police. Tulio mchagua Magufuli.
Maanadamano ni nyie na huyo shoga wenu
Jiwe mwenyewe amezidiwa na hofu kwa namna watu wake walivyotekeleza uchafuzi ktk uchaguzi. Sukari imemomonyoa kabisa nuru ya uso wake. Hapo hapo anawaza kesho maandamano. Itakuwaje?
 
Shida Wazungu hawaishi Tanzania, kuna watu kibao wanaomkubali Magufuli wengine hawako hata mitandaoni ukipata bahati ya kukutana na watu mbalimbali/tofautitofauti unaweza ukashangaa idadi ya watu wanaomkubali!! Ndo maana nikasema ni heri kusema baadhi ya Watanzania
Na unaweza ukashangaa pia!

JokaKuu tindo
 
Hayo yalikua yanatarajiwa kwa sababu ni nchi wanachama, Serikali zinazounda hayo mataifa haziwezi kuwa zimetofautiana sana na tawala zinazounda hiyo jumuia ni lazima wajitetee kuwa uchaguzi ulikua huru na haki kwani hata serikali za maeneo yote ya jumuia hio mrengo wao ni ule ule.

Sisi tumejaa uzembe wa kufikiria!

Hivi EAC, SADC au AU zimeshawahi kuitwa Ulaya kutoa msimamo kuhusu yale mambo yanayofanywa na Serikali za Ulaya, lakini baadhi ya wazungu wanayapinga vikali? Kwa mfano, ingawa ushoga ni halali Ulaya na Marekani, kuna wazungu wengi wanaupinga vikali kiasi cha baadhi yao kufanya hata mambo ya kighaidi dhidi ya mashoga.
 
Shughuli imeisha, JPM amekabidhiwa cheti cha ushindi muda si mrefu, vyama vyote vya upinzani kasoro CHADEMA, ACT na CUF ndio havikuwapo yaani vyama 12 vilikuwapo kushuhudia tukio...Q
IMEISHA HIYO....!

Hawa watu wanahitaji sophisticated brainpower kuendesha vyama vyao. Kuvitenga vyama vingine ni kosa kubwa la kiufundi na ni ushahidi kwamba hawana uwezo wa kujenga broad coalition and support. Strategist makini hawezi akajaribu kujenga taswira kwamba chama chake ndicho bora; all other opposition parties are irrelevant!

That’s why hata Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ilikuwa inawagonga nyundo kirahisi tu wakicheza faulo kidogo!
 
Jukwaa la Tume za Uchaguzi la SADC limeipongeza serikali ya Tanzania kwa kuendesha Uchaguzi halali.

Jukwaa hilo linaundwa na tume za uchaguzi za mataifa 14 ya SADC.

Tamko lililotolewa na jukwaa hilo kutoka makao makuu yake yaliyopo Botswana, linasema NEC na ZEC zimeendesha uchaguzi huru, wa haki, unaoaminika na uliogubikwa na uwazi wa hali ya juu.

Aidha, jukwaa hilo limezitaka nchi wanachama wa SADC kujifunza kiwango cha juu cha demokrasia kilichooneshwa na Tanzania na Zanzibar kwenye chaguzi kuu zake za mwaka 2020.
Acha kujitoa ufahamu wewe.Umesikia report zilivyo gongana .Hata kwenye gazeti la citizen imeandikwa.Eti report imetolewa makao makuu ya SADC .umeandika utopolo mtupu
 
Here’s the official statement:

 
Ukimuangalia na kumsikiliza mwanasisa nguli huyu wa SA ndo utajua SADC ni takataka na vijana wengi sisi ni takataka.

#Maendeleo yanaanzia kwenye siasa ya nchi husika maana wanasiasa na siasa ya nchi ndiyo inayotunga sheria,sera na kutekelezamipango mbalimbali sisi vijana hatuiangalii siasa kwa jicho chanya ndo maana tunaendelea kua wajinga siku zote.
 
Aiseee!
Kenya nao wamo?

Unawaweka wapi Botswana, Namibia, na hata Malawi kwa sasa hivi?

Ila inashangaza kwa SADC kutoa taarifa ya namna hii. Hawa ni Secretariat waliotoa taarifa, na hata taarifa yenyewe naona ni ya kujiumauma na aibu nyingi.
Balaa tupu mkuu
 
Back
Top Bottom