Uchaguzi 2020 SADC yaipongeza Tanzania kwa kuendesha Uchaguzi halali

Weka tamko hapa acha porojo.

Hata kama SADC wakipongeza sisi watanzania tunasema hapana!
Hivi jamana printer machine zao ni kubwa sana
Nimeambiwa ata wange taka zinge weza piga ✔️ tofauti tofauti
 
Hakuna lingine lolote ambalo SADC wanaweza kulisema kuhusu uchaguzi wa Tanzania zaid ya kukubaliana nasi.
 
Duuh.. kumbe SADC ni hamnazo!
 
Nyakati hizi ndo mnataja watanzania lakini mkishakabidhiwa madaraka hamuwakumbuki tena.
 
Original taarifa tafadhali. Usituwekee kopi ya tafsiri isyo na uhakika.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji4]
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…