Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Pole sana kwa ndugu na jamaa wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwepo kwa sasa inasemekana walim .......Hivi hakuna mstaafu anayeweza kuongea na ngazi ya juu ili hili jambo lichukuliwe serioulsy!!!
Halafu mbona kama Jiwe kapunguza kuzurura ghaflaTulizembea sana ndani ya hii miezi miwili TUTA TAFUTANA.
Shuguli iko kwetu raia utasikia sjui kna shw ya msanii fulani, kesho Mlimani city kuna tamashaHalafu mbona kama Jiwe kapunguza kuzurura ghafla
Hivi mtu binafsi unaruhusiwa kununua mashine ile ya kusaidia kpu*muaChangamoto za upumuaji
Inatakiwa iwe inaangaliwa na wataalamu wa afya. Hata hivyo oxygen therapy inasaidia wengi bila kuhitaji machine ya kupumulia.Hivi mtu binafsi unaruhusiwa kununua mashine ile ya kusaidia kpu*mua
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hebu nipe darasa la hiyo oxygen therapyInatakiwa iwe inaangaliwa na wataalamu wa afya. Hata hivyo oxygen therapy inasaidia wengi bila kuhitaji machine ya kupumulia.
Ndo ikoje hiyo? Maelezo zaidInatakiwa iwe inaangaliwa na wataalamu wa afya. Hata hivyo oxygen therapy inasaidia wengi bila kuhitaji machine ya kupumulia.
Ni mtungi wa oxygen tu unasaidia kupeleka kiasi kinachokutosha kwenye mapafu.Hebu nipe darasa la hiyo oxygen therapy
Maana ss wngine wazurulaji au sjui hz kvant zinatusaidia [emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Maji tiririka ni muhimu sana 😊Changamoto za upumuaji
Ndio mkuuHivi mtu binafsi unaruhusiwa kununua mashine ile ya kusaidia kpu*mua
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hivi mtu binafsi unaruhusiwa kununua mashine ile ya kusaidia kpu*mua
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nasikia ni huko Mzizima Muhimbili na ile kitu ya Zululand (fastafasta)
Changamoto za upumuaji
Foronya failas.
Daaah poleni sana.
Alafu anasimama mtu mmoja kifua mbele anatema mashudu
Hivi hakuna mstaafu anayeweza kuongea na ngazi ya juu ili hili jambo lichukuliwe serioulsy!!!
Hapa Mwanza Mzee Maarufu na Kada wa CCM MZEE kAFITI afariki dunia.
Udini, ukabila na uvyama, havina Maana katika matukio kama haya, matukio ambayo utake usitake Lazima ufe, Haina Afya hata kidogo kuendeleza utani usio na tija
Huyo anayeandika mambo ya Corona wanapokufa sjui wa CCM, achana naye, Mimi Naamini ni ujinga tu wa kutafuta like ambapo hata yeye akikaa na kutafakari, inamuumiza moyo,
Like haziwezi kuleta faraja yoyote Kwa mtu anapoleta nyuzi zinazomsuta hata yeye mwandishi
Mambo ya kufanyia siasa yapo, lakini kuna mengine yanahitaji utu, na akosaye utu juu ya mambo yenye utu, yaletayo simanzi huyo ni wa kupuuza
R.I.P na poleni sana wafiwa wote
Oxygen therapy ndio Ipoje ?Inatakiwa iwe inaangaliwa na wataalamu wa afya. Hata hivyo oxygen therapy inasaidia wengi bila kuhitaji machine ya kupumulia.
Nasikia ni huko Mzizima Muhimbili na ile kitu ya Zululand (fastafasta)