Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Ndio nini Zululand?Nasikia ni huko Mzizima Muhimbili na ile kitu ya Zululand (fastafasta)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nini Zululand?Nasikia ni huko Mzizima Muhimbili na ile kitu ya Zululand (fastafasta)
Na hii misiba yenyewe ni eneo lingine la usambazaji.Shuguli iko kwetu raia utasikia sjui kna shw ya msanii fulani,kesho mlimani cty kna tamasha...
Na hao ni kwa watu maarufu. Kuna wasiokua maarufu jee? Huruma.duu, jamani..mbona kila ukiingia jamii forum ni "kafariki"
Hawajali..hasa wasanii wanaviburi mno...wanadhani covid ni kipindupindu.Shuguli iko kwetu raia utasikia sjui kna shw ya msanii fulani,kesho mlimani cty kna tamasha...
Yaani mkuu kuchukua tahadhari hadi uambiwe na mstaafu wewe mwenyewe huwezi kujikinga watanzania mbona mambugila hiviHivi hakuna mstaafu anayeweza kuongea na ngazi ya juu ili hili jambo lichukuliwe serioulsy.
Ningekuwa sina uelewa nisingeandika hapa, mimi nina uelewa lakini kuna watu hawana awareness na wala hawachukui tahadhali, daladala zinashona abiria mpaka basi, likitoka tamko la kuzuia misongamano ya kwenye daladala na kwingineko litanusuru wengiyani mkuu kuchukua tahadhari hadi uambiwe na mstaafu wewe mwenyewe huwezi kujikinga watanzania mbona mambugila hivi
Nani asiyejua kuhusu Corona dunia hiiNingekuwa sina uelewa nisingeandika hapa, mimi nina uelewa lakini kuna watu hawana awareness na wala hawachukui tahadhali, daladala zinashona abiria mpaka basi, likitoka tamko la kuzuia misongamano ya kwenye daladala na kwingineko litanusuru wengi
Poleni sana ndugu yanguMimi ndani ya wiki mbili nimezika Baba mdogo na dada yangu kwa tatizo la upumuaji....Ni zaidi ya maumivu kila kitu tumemuachia Mungu
Mbona lugha ngumu nimekua sielewi au ndio kuumwa!!!?Alikuwepo kwa sasa inasemekana walim .......
Kashahamia kwenye mbao
PoleMbona lugha ngumu nimekua sielewi au ndio kuumwa!!!?
Jiongezeni jamani. Corona sio dude la mchezo ohoooShuguli iko kwetu raia utasikia sjui kna shw ya msanii fulani,kesho mlimani cty kna tamasha...
Mkuu Masaburi Marehemu hahahahhhhhUnakili za Masaburi
AsantePole
Ishu ni kwamba zamani watu walikuwa wakifa Tanzia haziletwi, ila sasa hivi hata akifa muuza juice maarufu, basi inaletwa Tanzia, ndio mana unaona hivyo..duu, jamani..mbona kila ukiingia jamii forum ni "kafariki"
Kwamba tuwekwe lockdown? Seriousness kwako ni nini?Hivi hakuna mstaafu anayeweza kuongea na ngazi ya juu ili hili jambo lichukuliwe serioulsy.
Kama watu wote wanajua corona mbona wanajazana kwenye daladala bila barakoa? Kunawa mikono je? NI HIVI KUNA WATANZANIA WAMEKATA TAMAA NA MAISHA, HAWAJALI KUFA AU KUTOKUFA. Mtu wa hivi ni HATARI SANA. BIASHARA ILIKUWA SAWASAWA TU WAKATI TUMEJITAHIDI KUFUATA USHAURI WA AFYA.nani asiyejua kuhusu Corona dunia hii
Kama watu wote wanajua corona mbona wanajazana kwenye daladala bila barakoa? Kunawa mikono je? NI HIVI KUNA WATANZANIA WAMEKATA TAMAA NA MAISHA, HAWAJALI KUFA AU KUTOKUFA. Mtu wa hivi ni HATARI SANA.nani asiyejua kuhusu Corona dunia hii