TANZIA Sadru Ndossi mmiliki wa SABA General ya Kariakoo afariki Dunia

TANZIA Sadru Ndossi mmiliki wa SABA General ya Kariakoo afariki Dunia

Una akili timamu wewe?

Yaani unaleta siasa mpaka msibani, vumilia kidogo tumstiri marehemu turumbane tena kwa hoja madhubuti.

nina akili kukuzidi mimi nilifanya Mensa Test ya kupima IQ natambuliwa kimataifa kwa IQ kubwa

katest kama akili unazo na IQ test ni bure tu andika google Mensa Test itakuja utaifanya online na majibu watakupa hapo hapo ukimaliza kujibu utajua kama wewe una akili au bwege ingia hata sasa hivi upimwe IQ yako

www.mensa.org

Umeelewa maana ya "Taarifa zaidi kuwajia"?

Umeambiwa taarifa zaidi utapewa hivi punde hivo subiri

Ushambiwa taarifa zaidi zitawajia hivi punde!

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Ukiwa CCM lazima uwe mjinga , uwe na roho mbaya , mnafiki , uwe na roho ya kichawi yaani jitu linaambiwa taarifa zitafuata lenyewe linaanza ukosoaji wa kitabulalasa kiempty head , hivi hili li CCM limeandika nn hapa .

Yeye hajafa kwa matatizo ya kushindwa kupumua?

Sasa ndo umeongea nini hapo,Never rejoice when someone is going through difficulties like losing loved ones, even yourself u will die one day at a time,death knows no political boundaries,

Ugonjwa wa CORONA si wa kushindania wala kubezana, ni ugonjwa ambao watanzania wote inabidi tuwe pamoja kusaidiana katika kutoa maelezo jinsi ya kujikinga. Kutoelewa ukubwa wa tatizo hili kunafanya kuwa watanzania wote ni wajinga. Elimu inahitajika!

Hili si swala la CCM wala CHADEMA, ni swala la watanzania wote.

Eee Mola wetu tupe stara, ueleo, nuru, elimu na upendo katika mtihani huu uliotuletea, na tutoe katika kiza cha UCHAMA katika kadhia hii.

Alale salama Mhe. Dennis Arcado Ntagazwa
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba Erythrocyte 🙏

Mwambie huyo kamanda uchwara wa ufipa.

RIP Arcado Ntagazwa.
Wakuu njooni muone kinacho endelea hapa, hapa wala watu hawahitaji taarifa zaidi bali wesha jiridhisha kuwa huyu mtu kafa kwa Corona tofauti na yule malaika kule yeye tunatakiwa tusubiri taarifa zaidi.
 
Tuendelee kuchukua tahadhari wakuu, huku tukiendekea kumuomba Mungu.

Usikubali kumsikiliza kiongozi wako aliyekengeuka na anayekwambia eti CORONA haipo kwa kuwa Mungu aliiondoa. Mungu hadhihakiwi.

Hosea 4:6: Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa. Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, asema Bwana!
 
Nimepata taarifa ya kuwa Mzee Sadru Ndossi ambaye ni moja wa mmiliki wa Kampuni kubwa ya kuuza spea za magari na pikipiki amefariki Dunia leo asubuhi.

Pia anamiliki majengo kadhaa hapa mjini bilashaka ndiye mmiliki wa Jengo la SS Concrete Pale Africana.

Mipango ya mazishi inafinyika nyumbani kwake karibu na Corner bar.

Mwili utasafirishwa kesho kuzikwa Moshi

RIP Mzee Ndossy
Mna undugu naye au ni zile juhudi za kutaka kuonyesha kuwa watu wengi wanakufa na chanzo cha kifo ni CORONA ambayo mnamsingizia JPM kuwa kasema haipo.
 
Kwa kasi hii ya vifo sasa hivi madaktari watakazwa kusema mgonjwa kafariki, wataambiwa wasema mgonjwa mahututi na ndugu hawaruhusiwi kumuona. Hapo ndio itakuwa mwisho wa mgonjwa wako.

Mgonjwa ataendelea kuwa mahututi milele.
 
Mna undugu naye au ni zile juhudi za kutaka kuonyesha kuwa watu wengi wanakufa na chanzo cha kifo ni CORONA ambayo mnamsingizia JPM kuwa kasema haipo.
Huko kwenu tayari...moshi tayari angani....
 
Hivi hakuna mstaafu anayeweza kuongea na ngazi ya juu ili hili jambo lichukuliwe serioulsy.
Too late. Hata likichukuliwa seriously ni kazi bure kwa sasa. Tegemeo kwa sasa ni herd immunity baada ya miezi sita na kuendelea. Wazee na wenye ishu za presha, moyo, kisukari, obesity waage tu asubuhi na mapema...
 
Too late. Hata likichukuliwa seriously ni kazi bure kwa sasa. Tegemeo kwa sasa ni herd immunity baada ya miezi sita na kuendelea. Wazee na wenye ishu za presha, moyo, kisukari, obesity waage tu asubuhi na mapema...
Au ni confidential depopulation plan
 
Back
Top Bottom