Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hayo wanayo hangaika nayo TEC, OUT nk yafanywe na serikali pia kuongeza uzitoKwamba tuwekwe lockdown? Seriousness kwako ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo wanayo hangaika nayo TEC, OUT nk yafanywe na serikali pia kuongeza uzitoKwamba tuwekwe lockdown? Seriousness kwako ni nini?
Ndio nini Zululand?
Kama uko chekechea nenda jukwaa la CRECHE ....
Yaani hadi kuvaa barakoa uambiwe na serikali au usipande daladala lililojaa haya subiri serikali mkuu au nasema uongo ndugu zanguuuuuKama watu wote wanajua corona mbona wanajazana kwenye daladala bila barakoa? Kunawa mikono je? NI HIVI KUNA WATANZANIA WAMEKATA TAMAA NA MAISHA, HAWAJALI KUFA AU KUTOKUFA. Mtu wa hivi ni HATARI SANA.
BIASHARA ILIKUWA SAWASAWA TU WAKATI TUMEJITAHIDI KUFUATA USHAURI WA AFYA. Kulikuwa na matumaini maana ugonjwa ulipungua sana.
TUMEACHA KUFUATA HATUA ZA KINGA NA UNAINGIA KWA NGUVU. SIJAONA MCHINA YEYOTE ANATEMBEA BILA KINGA YA BARAKOA. Hatujiulizi? NANI ATATUSAIDIA TUJIKINGE WOTE NA HAO 3ASIOJALI? SERIKALI
Ndivyo ilivyoKwa hivyo kirefu cha SABA ni Sadru&Badi .
Rekebisha "Badi" sio BadruSandru na Badru wa SABA?
Wee huyu ni mfanya biashara tena kubwa maarufu. Siyo muuza Juice.Ishu ni kwamba zamani watu walikuwa wakifa Tanzia haziletwi, ila sasa hivi hata akifa muuza juice maarufu, basi inaletwa Tanzia, ndio mana unaona hivyo..
Sadru na Badi=Saba GeneralSandru na Badru wa SABA?
Mimi ndani ya wiki mbili nimezika Baba mdogo na dada yangu kwa tatizo la upumuaji....Ni zaidi ya maumivu kila kitu tumemuachia Mungu
Maisha mtamu mjomba, Wewe hukumsikia juzi anasema alioneshwa kinyongeo Gereza la Isanga alitetemeka mwanzo mwisho.Halafu mbona kama Jiwe kapunguza kuzurura ghafla
Shukran kwa kunirekebisha, kumbe ni"Badi"Ndivyo ilivyoRekebisha "Badi" sio Badru
duu, jamani..mbona kila ukiingia jamii forum ni "kafariki"
Hivi hawa jamaa ni marafiki ama brothers?.Ndivyo ilivyoRekebisha "Badi" sio Badru
Jamani watu wa Moshi tafadhali kuweni makini na hii misiba, tunawapelekea corona wazee wetu huko Kilimanjaro bila sababu za msingi, kwanini tusizike mahali mtu alikofia? Ya nini kupeleka mauti nyumbani? Tunahatarisha maisha ya ukoo mzima kiukweli, tuangalie utamaduni huu upya ili Kuwakinga wazee wetu.
yani mkuu kuchukua tahadhari hadi uambiwe na mstaafu wewe mwenyewe huwezi kujikinga watanzania mbona mambugila hivi
Wameamua kuweka matangazo ya vifo kama vile redioni, na wala sio kuwa watu wanakufa sana kipindi hiki.duu, jamani..mbona kila ukiingia jamii forum ni "kafariki"