TANZIA Sadru Ndossi mmiliki wa SABA General ya Kariakoo afariki Dunia

TANZIA Sadru Ndossi mmiliki wa SABA General ya Kariakoo afariki Dunia

Wewe hujielewi. Unazusha vitu kwa faida ya nani. Hao watu waliokufa umewaona? Punguza umbea kaka utasutwa.
Nimekwambia thibitisha mimi muongo.

Umeshindwa.


Kanisa Katoliki tu, limetangaza kwamba vifo kwa kila parokia za mijini vimeongezeka kutoka kifo kimoja au viwili kwa wiki mpaka vifo kila siku ya wiki.

Hao Wakatoliki tu, bado hatujaenda kwa Waprotestanti na Waislamu na Wahindu na wa dini za asili na wasio na dini.

Usibishie fact kwa kutumia hisia.
 
Nimekwambia thibitisha mimi muongo.

Umeshindwa.


Kanisa Katoliki tu, limetangaza kwamba vifo kwa kila parokia za mijini vimeongezeka kutoka kifo kimoja au viwili kwa wiki mpaka vifo kila siku ya wiki.

Hao Wakatoliki tu, bado hatujaenda kwa Waprotestanti na Waislamu na Wahindu na wa dini za asili na wasio na dini.

Usibishie fact kwa kutumia hisia.
We kaka umekaa kimbeambea sana. Nakufananisha na Juma Lokole
 
We kaka umekaa kimbeambea sana. Nakufananisha na Juma Lokole
Hapo ndipo mwisho wa uwezo wako, nimekupa facts umekuja na mipasho.

Siwezi kujibizana nawe zaidi utanipaka shombo.

Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona unachoandika.

Kwanza sina kawaida ya kubishana na wanawake, inawezekana una mimba inakusumbua, au uko kwenye siku zako za hedhi unatokwa damu, halafu unataka kuniletea matatizo yako hapa.

Ignore list yangu imeongeza member leo.
 
Haya jifungieni ndani, msitembee, vaeni barakoa,tusubiri chanjo,atakaeonekana mtaania apigwe kama mbwa koko
Tanzania imecjafuka korona mno
au nasema uwongo ndugu zangu?
 
Hapa jirani tumezika Jana,mwili toka Muhimbili ulipita moja kwa moja mpaka makaburi ya kisutu kwa mazishi hiyo pia ni Nimonia Kali,nayo aliipata alipo toka mazishini Tanga
 
Hapo ndipo mwisho wa uwezo wako, nimekupa facts umekuja na mipasho.

Siwezi kujibizana nawe zaidi utanipaka shombo.

Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona unachoandika.

Kwanza sina kawaida ya kubishana na wanawake, inawezekana una mimba inakusumbua, au uko kwenye siku zako za hedhi unatokwa damu, halafu unataka kuniletea matatizo yako hapa.

Ignore list yangu imeongeza member leo.
Hivi we kaka mbona uko hivyo? Yaani maneno machafu machafu. No wonder huna mke hadi leo
 
Sasa hivi naona karibu kila kifo cha mtu anayejulikana lazima kiwekewe uzi Jeiefu
 
Hayo wanayo hangaika nayo TEC, OUT nk yafanywe na serikali pia kuongeza uzito
Angalia TBC1 na Radio ya taifa na utajua kwamba wizara ya afya inatangaza sana juu ya kuchukua tahadhari, na imekuwa ikifanya hivyo toka Corona ilipoingia kwa mara kwanza
 
Naamini kinachofanya matajiri watangazwe sana ni utajiri na umaarufu wao...lakini kuna sababu nyingine naziona
1.wanakutana na watu wengi mno,na wanamuingiliano na watu wengi sana
2.lifestyle yao nayo inachangia, ac,misosi,na pressure za kazi plus umri pia
3.wana presha sana kila siku tajiri hupelekewa habari nzuri na mbaya nyingi,hizi hushusha kinga ya mwili sana wana stress sana,marejesho,maombi,familia hasa wanawake wanawasumbua sana...
4.immune ya matajiri kutokana tu na mambo wanayopitia kila siku lazma ishuke
5.Hofu akijua ana korona pekee inaweza pia kuchangia akapata shinikizo la damu,mi naamini hata mama lwakatare hii hofu ilichangia kifo chake


ila maskini wanakufa ila sio kwa kasi hiyo,hata huko kanisani kiranga unapopasema wengi wanaotangazwa tunaona ni watu wanaojiweza na watu wengine ni wa kipato cha kati...ila kwa ukweli si vyema kwa watu maskini kama mm kufurahia vifo vya matajiri.
mwisho wa siku tutakufa wote.....
 
Back
Top Bottom