mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mtu hakutaki unamngania njoo basi kwangu mmHivi we kaka mbona uko hivyo? Yaani maneno machafu machafu. No wonder huna mke hadi leo
Baharia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu hakutaki unamngania njoo basi kwangu mmHivi we kaka mbona uko hivyo? Yaani maneno machafu machafu. No wonder huna mke hadi leo
Siamini, najua.It's the second law of thermodynamics.Kwani wewe unaamini kama kuna KUFA?
Huyo age inaenda halafu hana bwana, kapigwa mimba kakimbiwa, anatafuta bwana wa kumpachika mimba hiyo kwa nguvu.Mtu hakutaki unamngania njoo basi kwangu mm
Baharia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Siamini, najua.It's the second law of thermodynamics.
Usilichanganye jibu hilo na some fucked up logical non sequitur.
Hujajibu swali langu, kwani umelazimishwa kusoma?
Ndio maana nikauliza, mnataka seriousness ipi ionyeshwe na serikali?
Wewe unajua kusoma kwa ufahamu au ni ngumbaru ambaye unatakiwa kujifunza kusoma kwa ufahamu?hauamini wakati unaona WATU wanakufa?
Kama ana chura nta deal naye [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo age inaenda halafu hana bwana, kapigwa mimba kakimbiwa, anatafuta bwana wa kumpachika mimba hiyo kwa nguvu.
Kwanini waliotoa matamko kama namna ya kukumbusha wanalaumiwaAngalia TBC1 na Radio ya taifa na utajua kwamba wizara ya afya inatangaza sana juu ya kuchukua tahadhari, na imekuwa ikifanya hivyo toka Corona ilipoingia kwa mara kwanza
Asalaam AleykumMna undugu naye au ni zile juhudi za kutaka kuonyesha kuwa watu wengi wanakufa na chanzo cha kifo ni CORONA ambayo mnamsingizia JPM kuwa kasema haipo.
Ndossi na Nkya can't be brothers maybe Cousins.Hivi hawa jamaa ni marafiki ama brothers?.
Itakuwa ni Covid-19 ya ajabuajabu according to Jiwe!!Nasikia ni huko Mzizima Muhimbili na ile kitu ya Zululand (fastafasta)
Wewe unajua kusoma kwa ufahamu au ni ngumbaru ambaye unatakiwa kujifunza kusoma kwa ufahamu?
Unaelewa kuamini ni nini na kujua ni nini?
Unajua Kiswahili?
Maana nimeandika Kiswahili, unashindwa kusoma, ningeandika Kiingereza je?
Kuamini si kitu muhimu kwangu, kitu muhimu ni kujua.Hauamini kama kifo kipo.
Ila unaamini kuwa watu wanakufa na corona
Kuamini si kitu muhimu kwangu, kitu muhimu ni kujua.
Umeshaelewa hapo?
Ukijua umepita kuamini, umeelewa hapo?
Wewe unaelewa ninachoandika au unapopoma tu?Ngoja zamu YAKO ifike
Inashangaza sana..Anataka magufuli aje ampigie kengele nyumbani kwake kuwa kuna Corona.
Sababu si kazi yao, kuna miiko na taratibu ya kufikisha taarifa hasa wakati wa majanga. Vinginevyo leo ataibuka mtu atasema Dar yote wana Ebola, hiyo ni kazi ya mamlaka teuleKwanini waliotoa matamko kama namna ya kukumbusha wanalaumiwa