Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Huko muhimbili ventilator hazitoshi?
R.I.P muuza spea
R.I.P muuza spea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro jana alizungumzaJamani watu wa Moshi tafadhali kuweni makini na hii misiba, tunawapelekea corona wazee wetu huko Kilimanjaro bila sababu za msingi, kwanini tusizike mahali mtu alikofia? Ya nini kupeleka mauti nyumbani? Tunahatarisha maisha ya ukoo mzima kiukweli, tuangalie utamaduni huu upya ili Kuwakinga wazee wetu.
Hapa Mwanza Mzee Maarufu na Kada wa CCM MZEE kAFITI afariki dunia.
YOU WILL ALL DIE LIKE FLEAS , ITS JUST THE MATTER OF TIME .Nimepata taarifa ya kuwa Mzee Sadru Ndossi ambaye ni moja wa mmiliki wa Kampuni kubwa ya kuuza spea za magari na pikipiki amefariki Dunia leo asubuhi.
Pia anamiliki majengo kadhaa hapa mjini bila shaka ndiye mmiliki wa Jengo la SS Concrete Pale Africana.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake karibu na Corner bar.
Mwili utasafirishwa kesho kuzikwa Moshi
RIP Mzee Ndossy
Watu wengine mnapenda kujifanya machizi, nani kazungumzia ishu za lockdown?Kwamba tuwekwe lockdown? Seriousness kwako ni nini?
Unaonekana wew ni ngumu sana kuelewa au ni mjinga. Itoshe kusema hivyo tu.Yaani hadi kuvaa barakoa uambiwe na serikali au usipande daladala lililojaa haya subiri serikali mkuu au nasema uongo ndugu zanguuuuu
Mbona akioneshwa bunduki iliyotumika kummiminia Lissu risasi pale Area D hatetemekiMaisha mtamu mjomba, Wewe hukumsikia juzi anasema alioneshwa kinyongeo Gereza la Isanga alitetemeka mwanzo mwisho.
Hapa Mwanza Mzee Maarufu na Kada wa CCM MZEE kAFITI afariki dunia.
Unaweza kujikinga wewe kama wewe, but hao atakaokutananao hawafuati masharti, na wanaoishi vijijini pia hawajui kitu kinaitwa mdudu corona.
endelea kusubili tamko la serikali mkuu then tuone mjinga nani kati yangu na weweUnaonekana wew ni ngumu sana kuelewa au ni mjinga. Itoshe kusema hivyo tu.
Angalau hayati Mkapa alikuwa anasikilizwa kidogo, Waliobaki mmmh! Sasa hivi kila mtu apambane na hali yake tu, kuchukua tahadhari zote zinazotakiwa na kumuomba Mungu atuepushie hili balaaHivi hakuna mstaafu anayeweza kuongea na ngazi ya juu ili hili jambo lichukuliwe serioulsy.
Wabongo wanasubiri tamko la waziri MkuuNani asiyejua kuhusu Corona dunia hii
AminaAngalau hayati Mkapa alikuwa anasikilizwa kidogo, Waliobaki mmmh! Sasa hivi kila mtu apambane na hali yake tu, kuchukua tahadhari zote zinazotakiwa na kumuomba Mungu atuepushie hili balaa
Uongo haukusaidii chochote kakaPoleni na msiba.
Hawa wanaoletwa hapa ni wale maarufu tu.
Kwa kila maaarufu mmoja, kuna wengine zaidi ya 10 wasio maarufu hawajaletwa hapa kuagwa.
Thibitisha mimi muongo.Uongo haukusaidii chochote kaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Thibitisha mimi muongo.
Halafu mimi siwezi kuwa na dada mjinga kama wewe usijinasibu ukaka nami.
Wewe hujielewi. Unazusha vitu kwa faida ya nani. Hao watu waliokufa umewaona? Punguza umbea kaka utasutwa.Thibitisha mimi muongo.
Halafu mimi siwezi kuwa na dada mjinga kama wewe usijinasibu ukaka nami.