TANZIA Sadru Ndossi mmiliki wa SABA General ya Kariakoo afariki Dunia

Nasikia ni huko Mzizima Muhimbili na ile kitu ya Zululand (fastafasta)

Changamoto za upumuaji

Foronya failas.

Daaah poleni sana.
Alafu anasimama mtu mmoja kifua mbele anatema mashudu

Hivi hakuna mstaafu anayeweza kuongea na ngazi ya juu ili hili jambo lichukuliwe serioulsy!!!

Hapa Mwanza Mzee Maarufu na Kada wa CCM MZEE kAFITI afariki dunia.

Mkuu PAUL unaona kinacho endelea hapa, maneno hayo umeyaona kwenye uzi wa Tanzia ya ya kiongozi wa Chadame kule.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…