johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jiwe atawaona watapata teuziHuko CCM sijui karma kunatosha kila mtu kupata cheo au ubunge.
Vyeo Vipo VingiJiwe atawaona watapata teuzi
Labda aongeze ukubwa wa serkali.Jiwe atawaona watapata teuzi
Hakitakua Chama Dola daimaVyeo Vipo Vingi
Chama Dola
πππ ππππ€£Hakitakua Chama Dola daima
huko haji, ataenda NCCRKaribu Sana Huku Kwenye Hii Rangi Niliyoitumia Kuandikia Hapa πππ πππ€£ππ
Njia Ya Muongo Fupi
Kabla Ya Jumamosi Utakuwa Huku Huku
Hakitakua Chama Dola daima
Labda atatuambia aliko Ben.......kwa sababu yeye sasa ni mtu huru!huko haji, ataenda NCCR
hana lolote huyo apo kamkimbia meya Jacob! kimtindo
Keshasoma alama za nyakati...Kumekucha CHADEMA.
Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema hajachukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA lakini hiyo haimzuii kugombea ubunge jimbo hilo hilo kupitia chama kingine.
Source Eatv
Maendeleo hayana vyama!
Nilidhani kamkimbia Prof Kitila!hana lolote huyo apo kamkimbia meya Jacob! kimtindo