Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Ndio zenu, mtu akishaamua kuondoka mnasema hakuna anayemtaka, ila akiendelea kuwepo hamumfukuzi, kma hakuna anayemtaka kwanini msimfukuze kabla hajaondoka/hajahama mwenyewe?
Hamna hata anayemtaka huko cdm, hivyo yeye ni kuvuja kwa pakacha.