Uchaguzi 2020 Saed Ahmed Kubenea: Sijachukua fomu za Kugombea Ubunge CHADEMA Jimbo la Ubungo

Uchaguzi 2020 Saed Ahmed Kubenea: Sijachukua fomu za Kugombea Ubunge CHADEMA Jimbo la Ubungo

Ndio zenu, mtu akishaamua kuondoka mnasema hakuna anayemtaka, ila akiendelea kuwepo hamumfukuzi, kma hakuna anayemtaka kwanini msimfukuze kabla hajaondoka/hajahama mwenyewe?
Hamna hata anayemtaka huko cdm, hivyo yeye ni kuvuja kwa pakacha.
 
Ndio zenu, mtu akishaamua kuondoka mnasema hakuna anayemtaka, ila akiendelea kuwepo hamumfukuzi, kma hakuna anayemtaka kwanini msimfukuze kabla hajaondoka/hajahama mwenyewe?

Hata alipokuwa nani alikuwa anamfagilia? Ulitaka afukuzwe ili itumike propaganda kwamba kaonewa?
 
Mkiona mtu hamumtaki/hawasaidii mtumueni, sio akishaamua kuondoka/kuhaman chama mnaanza kusema ooh, hatumtaki, Alikua hana faida na maneno mengine kibao
Hata alipokuwa nani alikuwa anamfagilia? Ulitaka afukuzwe ili itumike propaganda kwamba kaonewa?
 
Kubenea mpaka sasa hivi amechunga heshima yake vizuri na akikomaa hivyohivyo atakuwa uzito mkubwa sana 25 kwa chama chake ukweli halisi jimbo hilo ccm lazima walichukue kwa nguvu jua kabisa uende popote hawatakutangaza chutama ujisitiri
 
Mkiona mtu hamumtaki/hawasaidii mtumueni, sio akishaamua kuondoka/kuhaman chama mnaanza kusema ooh, hatumtaki, Alikua hana faida na maneno mengine kibao

Atimuliwe apate kick?
 
Anataka aunge juhudi ili makaratasi yake
ya mwanahalisi yafunguliwe.
 
Kumekucha CHADEMA.

Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema hajachukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA lakini hiyo haimzuii kugombea ubunge jimbo hilo hilo kupitia chama kingine

Maendeleo hayana vyama

======

Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ameiambia JamiiForums kwamba hajachukua fomu ya kugombea Ubunge sababu hana mkataba unaombana kwamba lazima agombee wala sio lazima yeye kugombea Ubunge.
Mamluki wanajitambua hawawezi kuchomoza bora umejiondoa
 
Wewe Kenge huwezi kujuwa bali viongozi wako wakuu Lumbumba wanajuwa hilo[emoji12][emoji12]
 
Siasa za kubadili gia angani ndio zilizoharibu kina kubenea na wanasiasa wengine vijana aina ya kina Manyika.

Nakumbuka Kubenea alikuwa mwiba mkali sana kwa ccm na selikali kupitia gazeti lake la mwanahalisi.

Baada ya mwenyekti kuchange gia angani na Lowasa kutinga chadema, wanaharakati wengi walikuwa kama wamepigwa ganzi na ganzi hiyo imeendelea mpaka leo.
Njia pekee ya kuirudisha chadema katika misingi yake ni mbowe kuachia madaraka
 
Kumekucha CHADEMA.

Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema hajachukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA lakini hiyo haimzuii kugombea ubunge jimbo hilo hilo kupitia chama kingine

Maendeleo hayana vyama

======

Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ameiambia JamiiForums kwamba hajachukua fomu ya kugombea Ubunge sababu hana mkataba unaombana kwamba lazima agombee wala sio lazima yeye kugombea Ubunge.
Hata akija kwa chama tawala hafai kuwa mbunge wa jimbo la ubungo kwa sababu miaka 5 iliyopita hakufanya chochote kile

Mifano mzuri njoo kwenye barabara za mitaa huku Mavurunza kama Kwakichwa Millenium 3

Barabara hazijulikani ni kiangazi au masika khaa!
 
Kama mtu niliekaa Ubungo karibia kipindi chake chote, huyo jamaa hafai kabisa, iwe kwa chama chochote kile, huyo ni mlaji kama walaji wengine, ni upuuzi watu wa ubungo kumchagua tena
 
Kubenea na skendo zake na Komu kuvuja wakipanga mipango ya kumdhuru Mwenyekiti Mbowe na Boniface unadhani anajisikiaje,ashajishtukia kwamba chama hakitampitisha
hana lolote huyo apo kamkimbia meya Jacob! kimtindo
 
Kama mtu niliekaa Ubungo karibia kipindi chake chote, huyo jamaa hafai kabisa, iwe kwa chama chochote kile, huyo ni mlaji kama walaji wengine, ni upuuzi watu wa ubungo kumchagua tena
Baada ya kuwachana na diyo mnabaini kuwa hafai!!

Ama kweli ili mazuri yako yasemwe lazima uww umekufa.
 
Back
Top Bottom