Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Ambako ni kulekule...huko haji, ataenda NCCR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambako ni kulekule...huko haji, ataenda NCCR
CCM BAmbako ni kulekule...
Siasa za kubadili gia angani ndio zilizoharibu kina kubenea na wanasiasa wengine vijana aina ya kina Manyika.Hamna hata anayemtaka huko cdm, hivyo yeye ni kuvuja kwa pakacha.
Amezisoma alama za nyakatiHamna hata anayemtaka huko cdm, hivyo yeye ni kuvuja kwa pakacha.
Siasa za kubadili gia angani ndio zilizoharibu kina kubenea na wanasiasa wengine vijana aina ya kina Manyika.
Nakumbuka Kubenea alikuwa mwiba mkali sana kwa ccm na selikali kupitia gazeti lake la mwanahalisi.
Baada ya mwenyekti kuchange gia angani na Lowasa kutinga chadema, wanaharakati wengi walikuwa kama wamepigwa ganzi na ganzi hiyo imeendelea mpaka leo.
Huyu ataenda ACT. Nahis hivyohuko haji, ataenda NCCR
inawezekana piaHuyu ataenda ACT. Nahis hivyo
Polepole where are you Kuna fisi kateleza mlimani mvua ilikuwa kubwa changamka Hamfrey kumdaka huyo fisi [emoji3]" Ni kweli sikuchukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Ubunge kupitia CHADEMA na kwamba mimi si miongoni mwa wagombea wa CHADEMA watakaopigiwa kura leo kwenye mkutano mkuu wa kura za maoni kwa ajili ya kumpata mgombea wa Ubungo, lakini hiyo hainizuii mimi kugombea kupitia chama kingine, na sababu ni nyingi ikiwemo migawanyiko ndani ya chama na kusakamwa" amesema Kubenea.
Anaenda chama cha komu na Mbatia.Alijulikana siku nyingi, sema kaja kivingine na waliounga mkono juhudi.