Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Ben Saanane kamuulize Bashite, atakujulisha alipomzika.Akihama tu Chadema tutajua Ben Saa nane alipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben Saanane kamuulize Bashite, atakujulisha alipomzika.Akihama tu Chadema tutajua Ben Saa nane alipo.
Huyu na yule wa iringa sina imani nao sana pale chademaKumekucha CHADEMA.
Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema hajachukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA lakini hiyo haimzuii kugombea ubunge jimbo hilo hilo kupitia chama kingine
Maendeleo hayana vyama
======
Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ameiambia JamiiForums kwamba hajachukua fomu ya kugombea Ubunge sababu hana mkataba unaombana kwamba lazima agombee wala sio lazima yeye kugombea Ubunge.
Amekwisha fika mwisho wa safari. Wacha wengine waendelee na safari.Keshasoma alama za nyakati...
SK hajawahi kuwa mpinzani tangu awali...
mlitakiwa mjiulize kwann hai viongozi wote wanawahama
Sikuelew unachosemaBaada ya kuwachana na diyo mnabaini kuwa hafai!!
Ama kweli ili mazuri yako yasemwe lazima uww umekufa.