Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Hamna hata anayemtaka huko cdm, hivyo yeye ni kuvuja kwa pakacha.
Ndio zenu, mtu akishaamua kuondoka mnasema hakuna anayemtaka, ila akiendelea kuwepo hamumfukuzi, kma hakuna anayemtaka kwanini msimfukuze kabla hajaondoka/hajahama mwenyewe?
Chadema ndio chuo bora ya viongozi nchini[emoji3577]tunamkaribisha kwenye chama lao, mpaka kufikia uchaguzi tutakua tunaongea lugha moja, hawa wahuni wanakupotezea tu mda , pesa zako wamekula hawajengi chama
Hata alipokuwa nani alikuwa anamfagilia? Ulitaka afukuzwe ili itumike propaganda kwamba kaonewa?
Mkiona mtu hamumtaki/hawasaidii mtumueni, sio akishaamua kuondoka/kuhaman chama mnaanza kusema ooh, hatumtaki, Alikua hana faida na maneno mengine kibao
Mamluki wanajitambua hawawezi kuchomoza bora umejiondoaKumekucha CHADEMA.
Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema hajachukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA lakini hiyo haimzuii kugombea ubunge jimbo hilo hilo kupitia chama kingine
Maendeleo hayana vyama
======
Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ameiambia JamiiForums kwamba hajachukua fomu ya kugombea Ubunge sababu hana mkataba unaombana kwamba lazima agombee wala sio lazima yeye kugombea Ubunge.
Chadema ndio chuo bora ya viongozi nchini[emoji3577]
Njia pekee ya kuirudisha chadema katika misingi yake ni mbowe kuachia madarakaSiasa za kubadili gia angani ndio zilizoharibu kina kubenea na wanasiasa wengine vijana aina ya kina Manyika.
Nakumbuka Kubenea alikuwa mwiba mkali sana kwa ccm na selikali kupitia gazeti lake la mwanahalisi.
Baada ya mwenyekti kuchange gia angani na Lowasa kutinga chadema, wanaharakati wengi walikuwa kama wamepigwa ganzi na ganzi hiyo imeendelea mpaka leo.
chuo gan icho kinashindwa kutoa viongozi sasa mpaka waazime ccm
Hata akija kwa chama tawala hafai kuwa mbunge wa jimbo la ubungo kwa sababu miaka 5 iliyopita hakufanya chochote kileKumekucha CHADEMA.
Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema hajachukua fomu za kugombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA lakini hiyo haimzuii kugombea ubunge jimbo hilo hilo kupitia chama kingine
Maendeleo hayana vyama
======
Aliyekuwa mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea ameiambia JamiiForums kwamba hajachukua fomu ya kugombea Ubunge sababu hana mkataba unaombana kwamba lazima agombee wala sio lazima yeye kugombea Ubunge.
Umesahau viongozi wengi wametoka cdm mollel, kafulila, mkuu wa wilaya dom, zitto,
hana lolote huyo apo kamkimbia meya Jacob! kimtindo
Baada ya kuwachana na diyo mnabaini kuwa hafai!!Kama mtu niliekaa Ubungo karibia kipindi chake chote, huyo jamaa hafai kabisa, iwe kwa chama chochote kile, huyo ni mlaji kama walaji wengine, ni upuuzi watu wa ubungo kumchagua tena