Uchaguzi 2020 Saed Ahmed Kubenea: Sijachukua fomu za Kugombea Ubunge CHADEMA Jimbo la Ubungo

Huyu na yule wa iringa sina imani nao sana pale chadema
 
Huyu alipwaya sanaaa. Bora hakuchukua form maana most likely aibu yake ingeanzia ndani ya chama chake mwenyewe. Kuna kata na mitaa ya Ubungo hajawahi kabisa kutembelea hata ile ya kinafiki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…