Ni kama sasa hivi ambavyo MATAGA reference yao ni magazeti ya MUSIBA.Miaka hiyo ilikuwa haiwezekani Gazeti lake litoke bila ya kumtukana Kikwete, Mkapa au Zitto
Ukibishana na BAvicha reference yao ilikuwa Kubenea
Hata Mimi sijamuonea huruma kbsIla unafiki wake umemlipa
Anaeza toka tu muda utasema.Uonevu tu huo
Kamuandika sana Lowasaa kuhusu ufisadi.Hata Mimi sijamuonea huruma kbs
Hata Mimi sijamuonea huruma kbs
Nilimshangaa Kubenea kusema Ben Saanane kajiteka!Ila unafiki wake umemlipa
Tusijump into conclusion bado mapema sana sasa hv,usikute ni deal wamecheza na wahusika wametengeneza scandal ya money laundering kalipwa chake ili asiendelee kugombea Ubunge.
Nikimfikiria Joshua Nasari huwa haya matukio siyaamini kivile.
Hoja yako ni kuwa vipi utamkamata mtanzania ndani ya tanzania kwa kosa la kuingia kinyume na utaratibu. Mimi simzungumzii mtu, mimi nazungumzia suala la kuingia nchini kinyume na utaratibu uliowekwa. Sasa wewe uje utetee kwanini sio sawa kumkamata mtu aliengia kinyume na utaratibu na sio porojo.Mahakama inahitaji ushahidi wa Kubenea kwenda Kenya na kurudi kwa njia ya panya na si vinginevyo.
Kesi ya Zombe Jaji aliwaambia upande wa mashtaka wakawatafute wauwaji wawalete mahakamani, Zombe hakuuwa mtu lakini alishtakiwa kwa kesi ya mauwaji.
Wengi humu bado hamuelewi kwa nini watu wengi hawafungwi mahakamani bado hamjajuwa mahakama hasa huwa inahitaji nini ili kumfunga mtu.
Sasa mbona Magafuli ni rafiki mkubwa wa Odinga na wala kina Kenyatta hawana mpango naye?Transaction na movement kati ya Kenya na Tanzania ziko highly monitored, wakuu wanadhani Uhuruto wanaweza kusaidia kampeni za TAL, though kama wangeamua kusaidia wangefanya hivyo months before kampeni.
Kitendo cha Kenya kusaidia matibabu ya TAL bado kimeacha maswali Tz
Pesa za mabeberu?....πππHizo lazima zitakuwa pesa za kampeni. Swali je; Nani huko Kenya anataka Kubenea awe mbunge na kwa manufaa gani? AU katumwa na nani?
Uzuri kabla thread haijafika mbali watu wenye akili tumeshajuwa kisa ni nini, hayo mengine ni porojo tu.Hoja yako ni kuwa vipi utamkamata mtanzania ndani ya tanzania kwa kosa la kuingia kinyume na utaratibu. Mimi simzungumzii mtu, mimi nazungumzia suala la kuingia nchini kinyume na utaratibu uliowekwa. Sasa wewe uje utetee kwanini sio sawa kumkamata mtu aliengia kinyume na utaratibu na sio porojo.
In short, umeshindwa kutetea uovu.Uzuri kabla thread haijafika mbali watu wenye akili tumeshajuwa kisa ni nini, hayo mengine ni porojo tu.
...π€π€π€...kama ameuzwa kweli basi amemalizwa kisiasa.Atakuwa alienda kutafuta pesa za kufanyia kampeni, huu mchoro inawezekana atakuwa amechomwa na mtu wake wa karibu, kosa limefanywa kuwa kubwa kwasababu ya nafasi yake aliyokuwa nayo kisiasa, hapo hakuna dhamana na ndoto za ubunge ndio zimekwisha.
Sirari boarder wananchi wa pande zote huwa wanaingia tu,sijui siku hizi.Hoja yako ni kuwa vipi utamkamata mtanzania ndani ya tanzania kwa kosa la kuingia kinyume na utaratibu. Mimi simzungumzii mtu, mimi nazungumzia suala la kuingia nchini kinyume na utaratibu uliowekwa. Sasa wewe uje utetee kwanini sio sawa kumkamata mtu aliengia kinyume na utaratibu na sio porojo.
πππππππRaia amekamatwa kwa kuingia nchini kwake isivyo halali
Bwashee mbona unachanganya mada, kwani Magufuli ndiyo alimtuma Kubenea huko Kenya, mgombea wenu si anajinasibu kwamba amechanganya damu na wakenya, sasa mnaanza kuwakana wakenya, jinga kabisaMagufuli chsli yaani mchezo wao wa kipumbavu kabisa yote hiyo Kitila Mkumbo apite bila kupingwa
Documents alizokutwa nazo zinaongea hayo yote acha kubenea alinywe, Magufuli lazima 5 more ili awanyooshe wavivu kama hawa waliozoea njia za panya kujinufaisha, safari hii lazime mlie kwa sauti ya meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHoja yako ni kuwa vipi utamkamata mtanzania ndani ya tanzania kwa kosa la kuingia kinyume na utaratibu. Mimi simzungumzii mtu, mimi nazungumzia suala la kuingia nchini kinyume na utaratibu uliowekwa. Sasa wewe uje utetee kwanini sio sawa kumkamata mtu aliengia kinyume na utaratibu na sio porojo.