Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

Hapa ndipo ninapokuona wewe ni wakili kanjanja, inawezekana vipi umkamate raia wa Tanzania ndani ya Tanzania na halafu umshtaki kwa kuingia Tanzania isivyo rasmi? Are you mad?

Hivi huko ccm huwa mnavutishwa bangi gani ya kuwatowa akili?
Mkuu nenda taratibu. Mimi nahusikaje na suala hili na CCM? Hebu punguza mihemko isiyo na maana
 
Kwahiyo Watanzania wa Namanga hawaruhusiwi kupanda mabasi?

Hivi ukikutana na mtu boda akakulipa deni lako wewe ukageuza kurudi Arusha shida iko wapi?

Je Mtanzania haruhusiwi kuwa na dollar mfukoni?

Mkuu kwa sheria za sasa mpakani au hata hapa ndani ukikutwa na $ 1000 na kuendelea lazima uende kutoa maelezo polisi wakikukamata ,lazima uonyeshe risiti zake ,siyo mpakani tu hata kuvuka kutoka Zanzibar kuja bar ukikaguliwa ukakutwa na zaidi ya dolla 1000 maelezo ya msingi na risiti zake lazima ukamatwe ,hiyo ni baada ya kufunga bureau de change nyingi mjini
 
Kwahiyo unataka kutuambia muwakilishi wa kampuni ya Kenya hawezi kuja Namanga na wakasaini MoU na yule Mkenya kuvuka boda kurudi kwao?

Why Kubenea tu na siyo kwamba Mkenya alikuja yeye Namanga?
 
Nimekuelewa sana ila nilitaka kufafanua zaidi kwa sababu hapa tayari kuna watu wanasema kuwa ni msaada wa fedha za kampeni kutoka mataifa mengine. Nina maana kuwa hajalipwa kwa ajili ya kampeni per se bali ni kwa kazi nyingine japo kuna uwezekano mkubwa akazitumbukiza kwenye kampeni
 
Kwahiyo unataka kutuambia muwakilishi wa kampuni ya Kenya hawezi kuja Namanga na wakasaini MoU na yule Mkenya kuvuka boda kurudi kwao?

Why Kubenea tu na siyo kwamba Mkenya alikuja yeye Namanga?
Watu wanadhani mahakani mambo yanaenda kwa hisia. Na hizo risiti za hotel na bus atasema huyo mwakalishi alikuwa ameninunulia akidhani nitaenda hivyo amekuja nazo ili gharama zake ziweze kuwa deducted
 
Kwahiyo unataka kutuambia muwakilishi wa kampuni ya Kenya hawezi kuja Namanga na wakasaini MoU na yule Mkenya kuvuka boda kurudi kwao?

Why Kubenea tu na siyo kwamba Mkenya alikuja yeye Namanga?
Kwa huyo mwanasiasa aliyekuwa anaipinga serika ya Magufuli ana Hali mbaya.

Unazungumzia Sheria?
Utawala wa 'hila' Kama atachomoka basi atakuwa na 'Allah' wake!
 
Roho ya usaliti huandamana na mhusika hadi kiyama, kalale panapokustahili kubenea!
sawa na yule aliyesaliti CHADEMA na kusababisha mrembo Acqulina kuuawa na wenzio kufungwa, dhambi zile zitamwandama hadi siku ya kufa atakufa huku ameachama mdomo kwa mateso!
 
Kwa huyo mwanasiasa aliyekuwa anaipinga serika ya Magufuli ana Hali mbaya.

Unazungumzia Sheria?
Utawala wa 'hila' Kama atachomoka basi atakuwa na 'Allah' wake!
Kwenye Court of law hatuongei kiholela, tunashindanisha hoja.

Ndio sababu Dpp anashindwa kesi nyingi.

Kesi hii haikuwa na uharaka huo wa kukimbilia mahakamani, walipaswa kutafuta ushahidi na uhakika wa kushinda kesi mahakamani, Dpp hawezi kushinda kesi hii.

Mimi sijadili kisiasa, najadili kwa fact and evidence.
 
Hivi huyu ndiyo alituunga juhudi kwa namna ya kipekerr? Naona Chadema huwa mnasali sana kuomba adhabu ya Mungu kwa wasaliti wenu maana naona wote wameangukia pua la mbwa koko la Baridiiii.
 
Kwahiyo unataka kutuambia muwakilishi wa kampuni ya Kenya hawezi kuja Namanga na wakasaini MoU na yule Mkenya kuvuka boda kurudi kwao?

Why Kubenea tu na siyo kwamba Mkenya alikuja yeye Namanga?
Umeelezwa mpaka hoteli aliyolala Kenya na risiti zake,pia tiketi za basi nazo zimetajwa kutokea Kenya sasa uelewi nini,ni bora ungesema tusubiri atakapojitetea mahakamani sema miaka hii serikali haishindwi kesi kwa sababu ushahidi haupotezwi kama zamani,yanakamatwa madawa ya kulevya kwenye kipimo unakuta unga wa ngano,kwahiyo uwezekano wa kupatikana na hatia ni mkubwa wasingempeleka mahakamani mapema hivi kama wangekuwa hawana ushahidi.
 
Kuna maalfu ya Watanzania wanaOver stay kwenye nchi za majirani kwa miaka ili kukwepa adhabu huwa wanarudi nchini kwa nchini kwa njia za panya

Huyu Kubenea alikuwa kwenye radar
 
Nyumba yako mwenyewe lakini waingilia Dirishani, kunani Saed🙂
 
Sasa basi, naichukua hiyo sentensi ya

'Ndio sababu DPP anashindwa kesi nyingi.'

DPP anashindwa kesi nyingi sababu zipo 'associate'na matamko au maelekezo ya kisiasa! Hasa kwa upande kinzani na Serikali kuu ya mizuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…