Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

Uwezi fuatiliwa wewe mkulima unayekwenda kuuza bidhaa zako sheria hii ni kwa watanzania wote ila inakuwa Kali sana kwa wale watu wanaohusishwa na kuihujumu serikali nje ya nchi,wewe si unafuataga wanawake Zambia utaambulia magonjwa tu.
Ha ha [emoji23]
 
Mtanzania ameingia Tanzania sio kihalali? Sijaelewa
Ametoka na kuingia bila kufuata taratibu ila kwenye sheria imeandikwa hivyo kwa sababu ni lugha ya kisheria kuwa unaweza kuwa mtanzania lakini ukiwa unaingia kutokea ulikokuwa.
 
Mimi "siteteangi" wasaliti lakini dola 8,000 bado haijafikia kiwango cha ku declare. Huu ni utopolo. Mpaka ifike 10,000 dolla.
Sema dots "zingi" sana zimeunganishwa ndio tatizo lkn kuna kosa kama hili ni la kupangua tu.
Sasa ingekua kila anaepita immigration atangaze ana shs ngap na kazipata wapi si ingekua nongwa.
 
Wote waliomchafua Lowassa watalipa kwa machozi na masikitiko. Tena ndo hao hao wamesababisha Magu akawa Rais.
 
Kama Wahusika wameamua kuwa na Umakini huu basi usiwe unaishia tu kwa Wanasiasa tena wa Upinzani kwani unafanywa na wengine wengi tu.
Nikiwa nyumbani huko vijijini kasulu,mara moja moja huwa tunaeda zetu burundi kula bia na kurudi makwetu kawaida kabisa!Yaani hayo ndio maisha ya kawaida kwa watu wa mpakani!
 
Hiyo stakabadhi ya Hotel aliyofikia Kenya hujaona kwenye maelezo boss, au unasoma juu juu tu?
 
Wacha aisome namba mpuuzi Sana huyu jamaa


Ametumika vya kutosha kipindi Cha utawala wa Kikwete na Mkapa kuchafua watu na kueneza propaganda.
Kubenea katumika sana akiwa na hazeti lake
 
Wacha aisome namba mpuuzi Sana huyu jamaa


Ametumika vya kutosha kipindi Cha utawala wa Kikwete na Mkapa kuchafua watu na kueneza propaganda.
Kubenea katumika sana akiwa na hazeti lake
 
Watanzania tuwe Macho na Mimi nakuwa Machoo. Nasikia wamepewa MaTrion na Mabeberu ili Waturudishe utumwani wakati tumeanza kuingia mpaka wa Kanani kwenye Mikate na Asali.
Lifungwe tu miaka 20 paaaaa
 
Nikiwa nyumbani huko vijijini kasulu,mara moja moja huwa tunaeda zetu burundi kula bia na kurudi makwetu kawaida kabisa!Yaani hayo ndio maisha ya kawaida kwa watu wa mpakani!
Buni Media angalia bodi ya wakurugenzi wa hiyo kampuni ambayo Kubenea alikamatwa na "mkataba wa makubaliano" nao! Mkurugenzi wake kila kukicha ni kuishambulia serikali yetu na viongozi wake!
 
Watanzania tuwe Macho na Mimi nakuwa Machoo. Nasikia wamepewa MaTrion na Mabeberu ili Waturudishe utumwani wakati tumeanza kuingia mpaka wa Kanani kwenye Mikate na Asali.
Lifungwe tu miaka 20 paaaaa

Ajabu ni kwamba kuna binadamu wanaonasa kwenye propaganda uchuro kama hizi, kweli wapiga kura wengi ni wajinga mno... sishangai bwana yule uchwara kuapishwa.
 
Kwahiyo unataka kutuambia muwakilishi wa kampuni ya Kenya hawezi kuja Namanga na wakasaini MoU na yule Mkenya kuvuka boda kurudi kwao?

Why Kubenea tu na siyo kwamba Mkenya alikuja yeye Namanga?
hahaha kampuni ya kuuza "zana za kivita"
 
Buni Media angalia bodi ya wakurugenzi wa hiyo kampuni ambayo Kubenea alikamatwa na "mkataba wa makubaliano" nao! Mkurugenzi wake kila kukicha ni kuishambulia serikali yetu na viongozi wake!
Kumbe interest yao ni mambo mengine !
Mimi nilikuwa nasema hilo la kutoka kwenda nchi jirani na kurudi!Huku kwetu ni maisha ya kawaida kabisa na tunaenda kama tunavyoenda chooni!Wengine hadi kuhemea tunahemea nchi jirani!
 
Kosa kubwa hapo ni kupita njia za panya. Ila hiyo hela mbona ya maandazi tu!!!
 
Subiri mahakama iamue.
Hii nchi dakika mbili mbele hawachelewi kukupa kesi ya uhaini
Anavunja Sheria kwa koti la Upinzani ,

Akilalamika eti wananyanyaswa.

Sasa kisa cha kutumia njia za panya kuingia Kenya na kutoka nini,

Isijekuwa anafanya Mambo ya Ugaidi hapa.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Usanii mtupu kwani kla mhalifuhuwa anatuandikia magazeti?,

Hii kitu sijui Ina lengo gani na kubenea ametumika tu Kama kawaida yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…