HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Hivi kweli hata kusoma tu ukaelewa habari NI ngumu hivi? Hujasoma kwamba amekwenda Kenya bila kupitia mpakani rasmi inamaana amepita njia za chochoroni au hujawahi kusafiru kutoka nchi Moja kwenda nchi nyingine na ukajua taratibu za kuvuka mpaka wannchi Moja kwenda nchi nyingine?Hapa ndipo ninapokuona wewe ni wakili kanjanja, inawezekana vipi umkamate raia wa Tanzania ndani ya Tanzania na halafu umshtaki kwa kuingia Tanzania isivyo rasmi? Are you mad?
Hivi huko CCM huwa mnavutishwa bangi gani ya kuwatowa akili?
Halafu unamwambia mwenzako kanjanja.
Jamaniiii