Saed Ramovic: Ligi ya Algeria ina Ushindani mkali kuliko Tanzania, ambapo kuna timu Tatu tu!

Saed Ramovic: Ligi ya Algeria ina Ushindani mkali kuliko Tanzania, ambapo kuna timu Tatu tu!

Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,

"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Hamna kocha hapo
 
Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,

"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
huyo hakuwa kocha. sababu kibao. ukisikia kuna wazungu matapeli, sidhani kama huyo atakosa. anasema ameshindwa kuwavusha yanga kwa sababu ligi ni laini, wakati huo huo wenzake simba wamefanya vizuri, na gamond alikuwa bora kuliko yeye, kama sio tapeli ni nini sasa huyu. kwa hiyo simba wanatoka ligi ipi, si hii hii?
 
Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,

"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Kwani Algeria mbona timu ni zile zile miaka yote. Hizo timu nyingine mbona kimataifa huwa hatuzioni.
 
Ndiyo ukweli wenyewe hata kama ni mchungu.ukiondoa yanga(wanaume),Simba(wa mama) na azamu kunakuwa hakuna ligi
 
Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,

"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Ujeeremani kuna timu ngapi huyu fundi Bomba asituzingue.
 
huyo hakuwa kocha. sababu kibao. ukisikia kuna wazungu matapeli, sidhani kama huyo atakosa. anasema ameshindwa kuwavusha yanga kwa sababu ligi ni laini, wakati huo huo wenzake simba wamefanya vizuri, na gamond alikuwa bora kuliko yeye, kama sio tapeli ni nini sasa huyu. kwa hiyo simba wanatoka ligi ipi, si hii hii?
Simba wanacheza mechi halisi, yanga ananunua timu pinzani anajizolea migoli tuu
 
Yuko sahihi kabisa Kwa asilimia zote. Ligi yetu timu ni mbili. Simba na Yanga, Azam kidogo zilizobaki zinasindikiza tu, yaani alichomaanisha udhaifu uliopo ni collectively. Ligi ya Algeria unaweza usikute timu itakayofika Nusu fainali CAF champs, lakini as collectively timu zake ziko na weights za maana sana.

Kuna MC Alger, USM Algiers, CS Constantine, CR belouzdad, JS kabylie, JS Soura, ES setif, hizi timu Saba nilizozitaja hapo juu zikiamua msimu huu tunataka matokeo na tunataka kushindana wanao uwezo wa kuja kuchukua key player yyte hapa TZ hata Kwa bilioni moja ya kitanzania, hakuna mchezaji anayejitambua tena umri mdogo mwenye malengo anayependa kukua kimpira na kiushindani asivutiwe na kucheza Ligi kuu za Egypt, morroco, Algeria na Tunisia Kwa case ya hapa kwetu Afrika
 
Kaanza na kushindwa mechi ni mkosi mkubwa na labda ataendelea kushindwa huko, mtu akiondoka mahali husema ahsante sio kuponda. Yanga ni platform ambayo pia imemsogeza mbele aache kuropoka
 
Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,

"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Huyu mropofu bora tu aliondoka. Kwanza mashabiki wengi wa Yanga tulikuwa hata hatumkubali.
 
Back
Top Bottom