Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Ni Bosnia mwenye uraia pacha na ujerumanWe uliona wapi mjerumani akajiita said
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Bosnia mwenye uraia pacha na ujerumanWe uliona wapi mjerumani akajiita said
Hata Azam ni limke la SimbaAna hoja. Asikilizwe, timu zipo tatu tu. Zilizobaki ni machawa wa timu mbili za Kariakoo.
Yupo sahihi tena hizo timu zinanunua sana mechi na upuuzi mwingi kutoka timu mikoani kwa viongozi na walimu wao wakuu wa mikoa na ujinga mwingine unaoletwa na marefa!Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,
"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Si aseme tu kuwa Yanga ilikuwa inanunua mechi ndiyo maana alikuwa anaona timu haipati ushindani wa kutosha.Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,
"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.