Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Hamna kocha hapoSaed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,
"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
KabisaHuyo Anatakiwa akutane na timu moja wapo ya Simba au Yanga Akandwe nne na hiyo timu yake Kama ikivyofanywaga na Yanga ili apate Adabu kidogo
Mjuaji sana afu so mjuziKacheza Mechi moja tu ashajua team zote huko alipo ni Ngumu.
huyo hakuwa kocha. sababu kibao. ukisikia kuna wazungu matapeli, sidhani kama huyo atakosa. anasema ameshindwa kuwavusha yanga kwa sababu ligi ni laini, wakati huo huo wenzake simba wamefanya vizuri, na gamond alikuwa bora kuliko yeye, kama sio tapeli ni nini sasa huyu. kwa hiyo simba wanatoka ligi ipi, si hii hii?Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,
"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Kwani Algeria mbona timu ni zile zile miaka yote. Hizo timu nyingine mbona kimataifa huwa hatuzioni.Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,
"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Nje ya madaMbowe yuko wapi mbona hasikiki mkuu
kaonge ukweli lakiniYanga walikosea sana kumpa timu huyu
Imekuwaje kashindwa kuivusha timu ya wanaume?. Ukweli usemwe ligi imeingizwa kwenye Siasa wenye macho wamekuja miezi miwili wameona sie tuendelee kujidanganya😁Ndiyo ukweli wenyewe hata kama ni mchungu.ukiondoa yanga(wanaume),Simba(wa mama) na azamu kunakuwa hakuna ligi
Ujeeremani kuna timu ngapi huyu fundi Bomba asituzingue.Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,
"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.
Simba wanacheza mechi halisi, yanga ananunua timu pinzani anajizolea migoli tuuhuyo hakuwa kocha. sababu kibao. ukisikia kuna wazungu matapeli, sidhani kama huyo atakosa. anasema ameshindwa kuwavusha yanga kwa sababu ligi ni laini, wakati huo huo wenzake simba wamefanya vizuri, na gamond alikuwa bora kuliko yeye, kama sio tapeli ni nini sasa huyu. kwa hiyo simba wanatoka ligi ipi, si hii hii?
kocha zaidi ya miaka 2Kocha mwenye akili haropoki ropoki. Kesho na keshokutwa umefukuzwa kazi umeitwa na Azam na ofa nono utakula mitapishi yako au utasimamia msimamo wako?
Ukweli gani? Huko ujerumani kila siku bingwa bayern, ufaransa psg na uingereza man city kwahiyo nako hakuna ligi? Simba kaongoza kundi waalgeria wakiwepo.kaonge ukweli lakini
Dah hii n maajabu 😂Check huu msimamo,
Round ya kwanza imeisha,
WA mwisho akikaza msuli,
Bado anayo nafasi ya kua bingwa
Ila Rudi bongo ujioone vituko
Huyu mropofu bora tu aliondoka. Kwanza mashabiki wengi wa Yanga tulikuwa hata hatumkubali.Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali ya Algerian Super Cup. Alisema,
"Hapa Algeria, unacheza na wapinzani wagumu kila wiki, na hiki ndicho nilichokuwa nakihitaji kama kocha, tofauti na Tanzania ambapo kuna timu tatu tu zinazoshindania ligi ambazo ni Yanga, Simba, na Azam."
View attachment 3230430
MC Alger walitwa Algerian Super Cup baada ya sare ya bao 2-2 dakika 90 ndipo mikwaju ya penati 4-3 kuamua bingwa hapo jana Februari 8.