Saed Ramovic: Ligi ya Algeria ina Ushindani mkali kuliko Tanzania, ambapo kuna timu Tatu tu!

Yupo sahihi tena hizo timu zinanunua sana mechi na upuuzi mwingi kutoka timu mikoani kwa viongozi na walimu wao wakuu wa mikoa na ujinga mwingine unaoletwa na marefa!
 
Si aseme tu kuwa Yanga ilikuwa inanunua mechi ndiyo maana alikuwa anaona timu haipati ushindani wa kutosha.
 
Mkumbushe kwamba Simba inajulikana sana afrika.Hata hispania kuna timu mbili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…