Ulishawahi kufanya hivyo, kwa bima hziz za serikalini wakakubali, utapata utarudishiwa baada ya muda gani?, je hata kwa hii bima ya CHIF itafaa??hapana ,labda lipa chukua risiti kadai bima yako ikulipe
Ok nilichelewa mkuu hii imeshakuwa chanzo cha mapato kwa nchi yetu, nahisi haitakuja kutolewa tena .Sidhani kama ipo..as lazima ulipe kwa cash .
Mtoto akililia wembe MPE.Nilikuwa na safari moja nje ya nchi. Kabla ya kuanza safari, nilitakiwa kupima Corona hapa Tanzania ambayo ni dola 100 (231,000), nilivyofika kwenye ile nchi (West Africa). Sheria ya ile nchi ilinilazimu nifanye self isolation kwa siku 7, then nikaenda kupima ile rapid test (ilikuwa Bure),
Wakati wa kurudi Tz, sheria inasema ni lazima nikapime Corona (Certificate inatakiwa kuwa valid ndani ya masaa 72), nilivyokwenda kupima nikalipa dola 50 (~ 115,000)
Nilivyofika Dar Airport, nikatakiwa tena kupima Covid , Ni lazima hata kama una certifacate ya masaa 72, Charge ni dola 25 (57,500)
Kwa hiyo nimejikuta natumia zaidi ya laki 4 kwa return trip moja tuu
Niinaisihi serikali ifikirie kupunguza gharama za kupima Covid kwa wasafiri, Mfano ile dola 100 ni kubwa sana,
Ningewashauri waweke dola 25, (kwa wafanyabiashara na wagonjwa na wanafunzi wanaokwenda nje ya nchi kwa kipindi hiki ni Mzigo mkubwa sana
Kwa wasafiri katika nchi nyingi walalipishwa hiyo gharama na nchi nyingi zinaazia dola 45 mpaka 120.Nilikuwa na safari moja nje ya nchi. Kabla ya kuanza safari, nilitakiwa kupima Corona hapa Tanzania ambayo ni dola 100 (231,000), nilivyofika kwenye ile nchi (West Africa). Sheria ya ile nchi ilinilazimu nifanye self isolation kwa siku 7, then nikaenda kupima ile rapid test (ilikuwa Bure),
Wakati wa kurudi Tz, sheria inasema ni lazima nikapime Corona (Certificate inatakiwa kuwa valid ndani ya masaa 72), nilivyokwenda kupima nikalipa dola 50 (~ 115,000)
Nilivyofika Dar Airport, nikatakiwa tena kupima Covid , Ni lazima hata kama una certifacate ya masaa 72, Charge ni dola 25 (57,500)
Kwa hiyo nimejikuta natumia zaidi ya laki 4 kwa return trip moja tuu
Niinaisihi serikali ifikirie kupunguza gharama za kupima Covid kwa wasafiri, Mfano ile dola 100 ni kubwa sana,
Ningewashauri waweke dola 25, (kwa wafanyabiashara na wagonjwa na wanafunzi wanaokwenda nje ya nchi kwa kipindi hiki ni Mzigo mkubwa sana
Hata ingekuwa kipindi cha Mkapa, lipeni mpimwe acheni kulalamika hovyo! Kama dolla mia nyingi tulia Keko Magulumbasi na mkeo! Usisafiri nje ya nchiMkuu uwe unaandika baada ya kufanya research. Dola 100 iliwekwa kipindi cha Magufuli
Ndio wameweka kiwango hicho na mtakilipa acheni kulia liaRoho za kimasikini ni mbaya sana , kwahiyo ukifanya dola 100, ndio risk inapungua?
Risk zitapungua kwa kufuata taratibu za kiafya kwa wanaosafiri na sio kuweka bei kubwa kwenye vipimo,
Hiyo ingekuwa gharama ya matibabu atlist, lakini siyo hivyo vipimo
Waweke gharama nafuu, kinachotakiwa siyo pesa, kinachotakiwa ni kujua hali ya afya ya msafiri na usalama ..
Sehemu nyingi tunapata majibu ndani ya masaa 24 kupitia ile portal(baada ya gharama kupanda toka 40000 mpaka 230000 Kumekuwa hakuna foleni tena kwenye sehemu za upimaji)Booking ni instantaneous ila ni booking ya siku nzima sio specific time, queue inategemea unaenda kupimia hospital gani, ukienda pale Mabibo foleni ni kubwa ila una uhakika wa kupata majibu mapema zaidi, ukienda hospital binafsi kama Aga Khah au hospital za pembeni Mwananyamala na Amana foleni si kubwa.
Majibu ukipimia Mabibo maabara kuu ni 24-36hrs, Hospitali za Dsm nyingine ni around 48hrs, hospital za mikoani 48hrs, majibu yote yanatumwa kwa simu na email then uta print mwenyewe.
Majibu ndani ya masaa 24 ni uongo mtupu, ukipimia hospital yoyote Dar es salaam, hadi wapeleke samples maabara ya Taifa mabibo ni masaa 24 tayari yamekatika, kuja kupata majibu ni 48hrs na kuendelea, vivyo hivyo kwa mtaani. Nimeona baadhi ya watu wakilia sababu ya safari zao kugoma sababu ya kuchelewa kupata majibu. Bahati nzuri nimefanya same process Kenya, ipo very fast, convenient & cheap.Sehemu nyingi tunapata majibu ndani ya masaa 24 kupitia ile portal(baada ya gharama kupanda toka 40000 mpaka 230000 Kumekuwa hakuna foleni tena kwenye sehemu za upimaji)
Na kwa ukanda huu Tanzania ndiyo yenye utaratibu mzuri zaidi katika hili swala.
Kuanzia uchukuaji wa sampuli mpka majibu.
Watanzania tumebarikiwa Roho mbaya, wivu na ujuaji.Hata ingekuwa kipindi cha Mkapa, lipeni mpimwe acheni kulalamika hovyo! Kama dolla mia nyingi tulia Keko Magulumbasi na mkeo! Usisafiri nje ya nchi
Sasa mkuu Kama majibu Ni valid for 72hrs Halafu kipimo tu kinachukua 48hrs. Hapo ngumu kueleweka unatakiwa upime siku ngapi kabla ya Safari ili uwe na majibu valid yasiyozidi 72hrs???Majibu ndani ya masaa 24 ni uongo mtupu, ukipimia hospital yoyote Dar es salaam, hadi wapeleke samples maabara ya Taifa mabibo ni masaa 24 tayari yamekatika, kuja kupata majibu ni 48hrs na kuendelea, vivyo hivyo kwa mtaani. Nimeona baadhi ya watu wakilia sababu ya safari zao kugoma sababu ya kuchelewa kupata majibu. Bahati nzuri nimefanya same process Kenya, ipo very fast, convenient & cheap.
Habari salama tu mkuu, roho mbaya ni jadi wala hujakosea! Kama kuna mtu ana akili ya kumuua mtu makini ambaye alikuwa visionary sioni haja ya kubembelezana!Watanzania tumebarikiwa Roho mbaya, wivu na ujuaji.
Habari za asubuhi ndugu Mtanzania mwenzangu....
Mkuu majibu ndani ya 24hrs Ni sure bet ama sometimes Kuna delays? Kuna mdau kasema majibu Ni 48hrs Hadi vipimo vipelekwe maabara kuu.Wewe mwenyewe ndio unachagua muda na kituo cha kufanya kipimo. Normally majibu ni ndani ya 24hours.. wanakutumia kwenye email yako. Kisha una print ukienda pale airport muda wa kusafiri kuna mtu wao pale. Atakugonge mhuri. Mwanzoni wakati sehemu ya kupimia ilikuwa moja tuu .. pale National Lab. MABIBO .. Ilikuwa foleni kubwa sana..ila baada ya kuwapa hosp nyingi nyingi kupima foleni imepungua sana.. jitahidi kabla ya saa 7 uwe umepimwa
Ndio maana watu wengi wanakosa safari zao au safari inakuwa ya mashaka sababu una window ndogo sana, hizo frustration za hao watalii kuhusu vipimo vya Tz wakati unaondoka ni za wasafiri wote wanao ondoka Tz.Sasa mkuu Kama majibu Ni valid for 72hrs Halafu kipimo tu kinachukua 48hrs. Hapo ngumu kueleweka unatakiwa upime siku ngapi kabla ya Safari ili uwe na majibu valid yasiyozidi 72hrs???
Hakuna hospital inayopima yenyewe, zote zinapeleka maabara kuu ya Taifa Mabibo, SSH na yeye ameleta ujinga mwingine wa kila anayeingia Tz lazima apime tena rapid test hata kama ana certificate yenye 72hrs bado.Mkuu majibu ndani ya 24hrs Ni sure bet ama sometimes Kuna delays? Kuna mdau kasema majibu Ni 48hrs Hadi vipimo vipelekwe maabara kuu.
I thought hizo hospital walizoruhusu kutoa hiyo huduma zinajitegemea vipimo vyake sio lazima wapeleke maabara kuu.
You said it allRoho za kimasikini ni mbaya sana , kwahiyo ukifanya dola 100, ndio risk inapungua?
Risk zitapungua kwa kufuata taratibu za kiafya kwa wanaosafiri na sio kuweka bei kubwa kwenye vipimo,
Hiyo ingekuwa gharama ya matibabu atlist, lakini siyo hivyo vipimo
Waweke gharama nafuu, kinachotakiwa siyo pesa, kinachotakiwa ni kujua hali ya afya ya msafiri na usalama ..
Mimi nilivyotaka kusafiri nilipata majibu yabgu ndani ya 24hrs.Kabla ya kuchagua kituo cha kuchukua sample ni bora uwapigie. Nafikiri baadhi ya hosp ukiacha ile dola 100 ya serikali.. bado nao wanaongeza service charge yao. Nakumbuka kuna hosp moja niliwapigia wakaniambia kuna pesa natakiwa kulipa zaidi ukiacha ile hela ya serikaliThen booking inakupa appointment instantly? Majibu yanachukua muda gani?
Kuna long queue?
Msaada please based on your experience.