6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Roho za kimasikini ni mbaya sana , kwahiyo ukifanya dola 100, ndio risk inapungua?
Risk zitapungua kwa kufuata taratibu za kiafya kwa wanaosafiri na sio kuweka bei kubwa kwenye vipimo,
Hiyo ingekuwa gharama ya matibabu atlist, lakini siyo hivyo vipimo
Waweke gharama nafuu, kinachotakiwa siyo pesa, kinachotakiwa ni kujua hali ya afya ya msafiri na usalama ..
Risk zitapungua kwa kufuata taratibu za kiafya kwa wanaosafiri na sio kuweka bei kubwa kwenye vipimo,
Hiyo ingekuwa gharama ya matibabu atlist, lakini siyo hivyo vipimo
Waweke gharama nafuu, kinachotakiwa siyo pesa, kinachotakiwa ni kujua hali ya afya ya msafiri na usalama ..