Vangiporini
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 327
- 310
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni Mimi na pisi tu Braza hata kandokando ya barabara napunguza uzito afu safari inaendelea. Plan ni kumaliza wk nzima njiani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni Mimi na pisi tu Braza hata kandokando ya barabara napunguza uzito afu safari inaendelea. Plan ni kumaliza wk nzima njiani.
Mm natamani sana kilijua hili border la Zobwe na hapo Sumbawanga, mpaka sasa mambo yekete sa'bu Tunduma ni pasua kichwa sana aiseeYes ni njia imetulia na haina usumbufu sana hasa pale border, wazo zuri sana hili kuliko pale Mpika unaonyosha hadi chinsali, tunduma border kuna urasimu sana pale wa kukatisha tamaa kabisa
Huu Uzi ulianzisha mkuu.nataka kujua uzoefu wa kununua gari za SouthIla msinunue gari mtandaoni SA watu wametapeliwa sana matrekta na gari mnaambiwa sijui bank repo pana utapeli sana hapo siku ntaanzisha uzi wake njia salama ya kununua na kusafirisha gari kutoka ZA...