Safari ya gari Cape Town, Afrika Kusini mpaka Dar es Salaam, Tanzania

Safari ya gari Cape Town, Afrika Kusini mpaka Dar es Salaam, Tanzania

Wakuu, mwaka huu mwishoni nimepanga kufanya safari kuendesha hiyo ndinga kwenye picha kutoka Cape Town South Africa mpaka Dar es Salaam Tanzania karibia Kilomita 5,000.

Kuna yeyote yaliyewahi fanya safari ya namna hiyo, nipate mawili matatu ya barabara na usalama.
View attachment 2325827
Mkuu tupo wote hapa capetown,nakushauri usipite Zimbabwe,pitia botwasa to Zambia.Pia nami ninampango wakurejea bongo hapo january naweza kuungana na wewe mkuu.
 
Wakuu, mwaka huu mwishoni nimepanga kufanya safari kuendesha hiyo ndinga kwenye picha kutoka Cape Town South Africa mpaka Dar es Salaam Tanzania karibia Kilomita 5,000.

Kuna yeyote yaliyewahi fanya safari ya namna hiyo, nipate mawili matatu ya barabara na usalama.
View attachment 2325827

Kusafiri 5000 km is very simple, cha kushangaza ni utuambie kwa siku ngapi
 
Wewe jamaa unauliza ufundishwe au nina miaka zaidi ya 20 nafanya kazi za magari na vitu vingine SA matakataka yote na sheria nyingi zinabadilika tupo kwenye gemu...humu nipo kuwaeleza wengine wasione ugumu wewe unaleta mambo yenu ya Kitanzania kuwa haiwezekani unafaidika nini wakati gari za Gauteng zipo nyingi Daslm na mikoa mingine..
Mimi nimekuuliza tu swali...
 
Mimi nimekuuliza tu

Msanii mmoja alihongwa gari toka sauzi akashindwa kulipia ushuru wakaibeba.

Msalimie zarithebosslady
Ilirudi SA maana hawawezi kuchukua na kuuza gari yenye umiliki wa mtu mwingine ilirudi SA naifahamu hiyo gari ni wasanii wawili imewatokea hiyo ishu..sema vijana ni kama waliwakopa wale wasanii kwa kuwapa gari ambazo ilikua ngumu kwa wasanii kuzilipia kodi wakijua zitarudi tuu nyumbani...
 
Ilirudi SA maana hawawezi kuchukua na kuuza gari yenye umiliki wa mtu mwingine ilirudi SA naifahamu hiyo gari ni wasanii wawili imewatokea hiyo ishu..sema vijana ni kama waliwakopa wale wasanii kwa kuwapa gari ambazo ilikua ngumu kwa wasanii kuzilipia kodi wakijua zitarudi tuu nyumbani...
Mimi nimekupa utaratibu wa kisheria ila naona wewe umeleta mazoea ya miaka 20 kwaio siku jambo hilo likikukuta usishangae kabisa mzee...hayo magari yenye namba za kigeni yamekua yamoto DSM... labda kama hio gari ni van...etc...
 
Mimi nimekupa utaratibu wa kisheria ila naona wewe umeleta mazoea ya miaka 20 kwaio siku jambo hilo likikukuta usishangae kabisa mzee...hayo magari yenye namba za kigeni yamekua yamoto DSM... labda kama hio gari ni van...etc...
Watafute wa kuwafundisha sikumbuki idadi ya gari nilizoleta na pia mimi ni mhasibu sidhani kama pana kitu kipya ntapata kutoka kwako kwa ishu za sheria za kodi iwe Tanzania au SA...
 
Uz
Nimeendesha mara tatu kutokea Cape Stad huwa tunapita Namibia,Zambia,Tanzania ukipita kuitafuta Pretoria Kilomita ni nyingi sana kutoka Cape Town mpaka Johanesburg ni 1500Km kwa usafiri wa bus likitoka leo asubuhi linafika tena kesho asubuhi Johanesburg.

Kuingia Namibia utapitia mpaka wa Sesheke kuingia Zambia unakua umefika Living stone hapo mpaka Lusaka ni kama mia sita naa Km na Lusaka mpaka Nakonde ni 1100Km sema gari nyingi zipo Johannesburg kuliko huko Cape Town na pia kutoka Jozi sio mbali kuja Tanzania ila pia Cape pana gari nyingi bei nafuu kuliko Gauteng Province shida ni huo umbali.
Uzoefu mzuri
 
Back
Top Bottom