Njia hiyo ya beitbridge niliacha kupita miaka mingi sana
Beitbridege ni boarder ambayo madawa ta kulevya yanapita sana , kuna check point nyingi sana hadi unafika polokwane unaweza pata usumbufu wa kusimamishwa simamishwa .
Mabasi ya abiria mengi yanapita hapo yakitokea harare lusaka na bulawayo,bulawayo kuna shida ya illigal immigrants na wengi wa uoande huo ndo wezi wezi , hivyo kuna checkpoints nyingi pia za watu wa uhamiaji
Ningekuwa mimi ningepita lusaka livingstone kazungura boarder francis town gabarone unakuja kutokea uwani mwa jo burg.. anyway good experience