Safari ya gari Cape Town, Afrika Kusini mpaka Dar es Salaam, Tanzania

Safari ya gari Cape Town, Afrika Kusini mpaka Dar es Salaam, Tanzania

Ukipitia Namibia ni salama zaidi, ukitoka sesheke mpa livingston njia kdg nichafu (sijui kwasasa km wameboresha) lkn ni salama zaidi na hakuna kero wala mashaka, kuliko kupitia Zimbabwe au Botswana.

Mziki upo ktk border yetu hapo Tunduma TRA.....dahhh [emoji134] Isanga Family ni mtaalamu zaidi atakujuza indeep
 
Dah mkuu matola umenitisha kidogo. Nilikuwa na mpango wa kutinga hapo Sauz kuchukua huyo mnyama hapo chini McLaren Senna 2020 1.5 million USD 30M SRand nimeghairi.


Screenshot_20220817-073527.jpg
Crop800x600 (5).jpeg
Crop800x600 (2).jpeg
Crop800x600 (4).jpeg
 
Dah mkuu matola umenitisha kidogo. Nilikuwa na mpango wa kutinga hapo Sauz kuchukua huyo mnyama hapo chini McLaren Senna 2020 1.5 million USD 30M SRand nimeghairi.
Screenshot_20220817-073527.jpg
Crop800x600 (5).jpeg
Crop800x600 (4).jpeg
Crop800x600 (3).jpeg
Crop800x600 (2).jpeg
 
Hii ni picha umedownload, ila hata ingekuwa ni bajaj haiongezi wala kupunguza millage.

Cape town mpaka Dar ni zaidi ya kilometer 5000 inategemea unapitia njia gani, kuna njia zaidi ya tatu.

Ukipitia Johannesburg maana yake mpaka Dar si chini ya kilometer 6000. Pili kuna vitu vya kuzingatia kibali cha interpol na border ya kuingia Tanzania ili gari iingie kwa kulipia transit tu ni lazima gari iingizwe na mgeni yani siyo Mtanzania kwamba anakuja kutembea, sidhani kama utaratibu umebadirika, ila kama upo vizuri ujiandae kulipa ushuru wa hiyo gari border kama unaingia nayo mwenyewe kwa passport ya Tanzania, kitu ambacho najuwa hiyo gari utaiacha tu border na kupanda basi kwenda Dar na huenda hiyo gari ukaiuzia hapohapo border. Unawajuwa TRA?

Nimekufumbuwa macho kidogo, wajuzi watakueleza zaidi.
Si plate ya bongo inayo?
 
Nchi za Sadc kodi ipo nafuu kwa bidhaa zinatoka ukanda wao ila hiyo gari utakayonunua SA iwe made ya SA na unapata karatasi za export kutoka wizara yao ya Export and trade ipo Sunyside jengo la Mandela bure ila uwe na document zote za Interpol na wao ndio wanakuuliza utapitia mpaka upi ili likitoka hiyo namba inafutwa SA na hata Interpol wakija Tanzania hawawezi kukusumbua kwa sababu gari ishafutwa kwao muda mwingine wanakamata gari ambazo hazijafutwa SA ila sio za wizi..ukifata utaratibu hauwezi kusumbuliwa miaka nenda rudi...
Kama akiwa na document za export kutoka South Africa akifika border ya Tanzania lazima hio gari ilipiwe ushuru maana export ya nchi ingine kwetu sisi ni import
 
Watu wa Mbeya watakuja kutoa ushuhuda ,maana wameenda huko na kurudi na mgari kwa kupitia Malawi,Zambia.
Wakuu, mwaka huu mwishoni nimepanga kufanya safari kuendesha hiyo ndinga kwenye picha kutoka Cape Town South Africa mpaka Dar Es Salaam Tanzania karibia Kilomita 5,000.

Kuna yeyote yaliyewahi fanya safari ya namna hiyo, nipate mawili matatu ya barabara na usalama.View attachment 2325827
 
Kwa sisi wenye vibali vya kudumu vya kuishi SA sio lazima...
Hata ukiwa na residence permit document yako kama imekua declared kama EX1 -Permanent Export maana yake hio gari imekua deregistered na hairudi South Africa kwaio ikifika border inakua IM4( import for home use) kwaio itatakiwa ulipie ushuru labda ufanye mchakato ila kama itatoka kwa Temporary Export utakata tu ile Temporary Import Permit - TIP ambayo utapewa either mwezi mmoja...
 
Back
Top Bottom