Yes ni njia imetulia na haina usumbufu sana hasa pale border, wazo zuri sana hili kuliko pale Mpika unaonyosha hadi chinsali, tunduma border kuna urasimu sana pale wa kukatisha tamaa kabisa
Ila msinunue gari mtandaoni SA watu wametapeliwa sana matrekta na gari mnaambiwa sijui bank repo pana utapeli sana hapo siku ntaanzisha uzi wake njia salama ya kununua na kusafirisha gari kutoka ZA...