Mimi sifanyi hivyo, napunguza starehe zisizo na maanaUsijitese sana, maisha ya mwanadamu yana mwanzo na yana mwisho. Kula ni muhimu, kuvaa ni muhimu, matibabu ni muhimu, pia kufurai/kula bata ni muhimu; cha kufanya ni kuimarisha vyanzo vyako vya kifedha viweze kukupatia hizo huduma.
Utajitesa leo, kesho unapinduka na gari; wakulungwa wanatumia hela zako bila huruma.
Muhimu tujue kuna kuishi pia, na tunaishi mara moja tu. Usiwalishe watoto mboga isiyokuwa na mafuta kwa sababu ya kujenga.
Safari moja huanzisha nyingne .Kuna swali huwa najiuliza hivi kuna uhusiano gani kati ya bia ya kwanza na ya pili...?
Mkuu kwanini isiwe T Bond za 20yrs?Nunua bond za Samia infrastructure Bond za Tarura via CRDB
Umeanza jipataWakuu,
Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.
Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.
Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.
Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.
Committiments ni kwamba;
-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
- Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
- Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
- Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.
Usiogope, starehe zipo hapa hapa duniani; mbinguni ni hukumu tu.Mimi sifanyi hivyo, napunguza starehe zisizo na maana
Ni wewe tuu na malengo yakoMkuu kwanini isiwe T Bond za 20yrs?
Bata kidogo kazi sana ,safi sana kiongozi.
Ngoja wakuamshie popoHiyo inaitwa ajali kazini. Ila kwa sasa hizo mambo hazipo
Kujipongeza ni kitu amabacho kipo kwenye bajeti yangu .Kuishi ni muhimu pia, wengi huwa tunatafuta tunasahau kuishi; huku tukitegemea ipo siku maisha yatarudi nyuma.
Kujipongeza ni kitu amabacho kipo kwenye bajeti yangu .
Ushatuambia sana though, 65m nifanyie roho mbaya mkuu? HahahInaonyesha una roho mbaya hata hesabu nyepesi kupiga huwezi
You will be fine... you will be fine..!! Jomba usijali mambo yatakaa sawa. Kupitia andiko lako naona stress ya kufa mtu. Wakati mgumu unaopitia nao utapita.Wakuu,
Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.
Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.
Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.
Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.
Committiments ni kwamba;
-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
- Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
- Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
- Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.
He will be fine.... ni stress tu zinamzingua.Ni ngumu sana kisevu 700,000/- kwa kipato cha 1.2m
Fanya hivi
-nyumbani matumizi kwa mwezi 300,000/- chukua Laki3 toa ile 1.2m utabaki na laki9, hapo sijaweka Kula kazini (mchana na asubuhi), Nauli za kwenda kazini, Vocha, maji, umeme, gasi/mkaa, kuvaa, kin'gamuzi,
- Milioni40 kuipata labda ujiingize kwenye magendo kwa sababu kipato chako kwa mwaka ni hakizidi 15.6M