Safari ya kujitafuta 2025 inaanzia hapa! Hisa 129,700 za CRDB, NICOL 3864, UTT 400k safari inaendelea

Safari ya kujitafuta 2025 inaanzia hapa! Hisa 129,700 za CRDB, NICOL 3864, UTT 400k safari inaendelea

Halafu kweli vile
Ndio maana kukawepo na mapendekezo katika maisha ya mwanadamu; tumia masaa 7 kulala, masaa 8 kufanya kazi, dakika 1 kuabudu/kusali; hayo masaa 9 yaliyobaki, tumia kwenye maisha ya kijamii.

Mbinguni (kama una amini ipo) hatuendi na maghorofa, fedha, magari, au mali yoyote ile, zaidi tu ni roho yako; na ikumbukwe, hautarudi tena duniani kuyaishi yale maisha uliojinyima.​
 
Vitu vya msingi kabisa umesema hapo Tajiri💪

1. Mshahara 1,000k+
2. Unasave more than half ya take home💪
3.Kupiga dili mbili tatu💪😄
4.Marupurupu haya nayo 💪
5. kubwa kuliko ni kupunguza machawa na marafiki wanaoshawishi kutumbua tu,wazee wa vikao💪💪💪💪

📌📌📌Ukihimili kiu CHA MAJI YA DHAHABU UMETOBOA KWENYE HUU UMASKINI WA KUTOPEA😂😂😂.

ALO IN ALO HONGERA!!!
 
Hizo one one two one two tatizo huwezi kuzi quantify, na hajazingatia other factors
jamaa hafanyi kazi OR-TAMISEMI acha kukaza fuvu. Yupo kitengo kwenye taasisi so chill.

Anachokisema ni possible kabisa kama kazini kuna one two one two gusa achia piga pale plus posho jumlisha na faida ya M-pesa kusurvive life kibongobongo bila kutumia mshahara inawezekana 100%
 
jamaa hafanyi kazi OR-TAMISEMI acha kukaza fuvu. Yupo kitengo kwenye taasisi so chill.

Anachokisema ni possible kabisa kama kazini kuna one two one two gusa achia piga pale plus posho jumlisha na faida ya M-pesa kusurvive life kibongobongo bila kutumia mshahara inawezekana 100%
Kwa hiyo unataka kusema hiyo 40m anaweza kuifikia?
 
Vitu vya msingi kabisa umesema hapo Tajiri💪

1. Mshahara 1,000k+
2. Unasave more than half ya take home💪
3.Kupiga dili mbili tatu💪😄
4.Marupurupu haya nayo 💪
5. kubwa kuliko ni kupunguza machawa na marafiki wanaoshawishi kutumbua tu,wazee wa vikao💪💪💪💪

📌📌📌Ukihimili kiu CHA MAJI YA DHAHABU UMETOBOA KWENYE HUU UMASKINI WA KUTOPEA😂😂😂.

ALO IN ALO HONGERA!!!
Kuna jamaa analipwa take home 2.5m, extra duty 850,000/-, incentive 900,000/- huyu ana uwezo wa kusevu 2.5m bila hata ya kutegemea rushwa
 
Ndio maana kukawepo na mapendekezo katika maisha ya mwanadamu; tumia masaa 7 kulala, masaa 8 kufanya kazi, dakika 1 kuabudu/kusali; hayo masaa 9 yaliyobaki, tumia kwenye maisha ya kijamii.

Mbinguni (kama una amini ipo) hatuendi na maghorofa, fedha, magari, au mali yoyote ile, zaidi tu ni roho yako; na ikumbukwe, hautarudi tena duniani kuyaishi yale maisha uliojinyima.​
Kwenye Mungu basi walau siku nusu saa Kila siku
 
Kuna jamaa analipwa take home 2.5m, extra duty 850,000/-, incentive 900,000/- huyu ana uwezo wa kusevu 2.5m bila hata ya kutegemea rushwa
Huyo jamaa ni wa tamisemi au unachangamsha genge mkuu.Huo mshahara ni wa mkuu wa mkoa au wilaya na makatibu tawala😄😄
 
Kwa hiyo unataka kusema hiyo 40m anaweza kuifikia?
akisimamia dili zake anapiga fresh yaani mwaka mzima average kila mwezi apige dili la million 3.

Watu wanakula kwa urefu wa kamba mzee, huwezi jua jama yupo KITENGO gani ila kwa maelezo yake hawezi kuwa halmashauri😄😄😄
 
Mbona dharau hizi kwo afsa ardhi, afisa biashara, afsa kilimo hawezi kupiga deal, afisa madini mzee
akisimamia dili zake anapiga fresh yaani mwaka mzima average kila mwezi apige dili la million 3.

Watu wanakula kwa urefu wa kamba mzee, huwezi jua jama yupo KITENGO gani ila kwa maelezo yake hawezi kuwa halmashauri😄😄😄
 
Mbona dharau hizi kwo afsa ardhi, afisa biashara, afsa kilimo hawezi kupiga deal, afisa madini mzee
Sio dharau tamisenga huko pipoz zinashida na njaa sana hawana jeuri hiyo ya kusave 700k.

Ukikuta wanaojiweza staili ya mleta mada wanaojua hata hisa ni nini na hayo ma UTT. basi ni baadhi ya halmashauri kama za Daslam hivi au Mwanza na Arusha.Ila majority ni poverty encircled🤗

Hamna hela wala dili za kueleweka, ukitaka kujua tu sehemu hamna hela cheki madereva wa hapo mahali😄😄😄Madereva wa halmashauri 99% wanaplani za kukimbia huko.
 
Sio dharau tamisenga huko pipoz zinashida na njaa sana hawana jeuri hiyo ya kusave 700k.

Ukikuta wanaojiweza staili ya mleta mada wanaojua hata hisa ni nini na hayo ma UTT. basi ni baadhi ya halmashauri kama za Daslam hivi au Mwanza na Arusha.Ila majority ni poverty encircled🤗

Hamna hela wala dili za kueleweka, ukitaka kujua tu sehemu hamna hela cheki madereva wa hapo mahali😄😄😄Madereva wa halmashauri 99% wanaplani za kukimbia huko.
🥶Mkoani kwetu madereva wa halmshauri, tarura nawakuta baa Kila siku utasema hawa wanashida.

Take home yao labda tuseme ni 🤣600k kwa 700k Ata save 200k Kila mwez
 
Kuna jamaa analipwa take home 2.5m, extra duty 850,000/-, incentive 900,000/- huyu ana uwezo wa kusevu 2.5m bila hata ya kutegemea rushwa
Watu wengi wanaotamba mjini ni wazee wa one two one two,gusa achia piga pale asikudanganye mtu. Mishahara haitoshi na sio kila sehemu kuna hivyo viposho posho.
 
Ila umenikumbusha siku moja nilienda Cota moja hivi nilzokulia huwezi amini nyumba zimejengwa 1980 mpka Leo zipo hvo hivo watumishi wanaishi utadhani zizini mkuu nimekulia kwenye hizo nyumba nimeondoka 2009 mwanzoni lakini nimerudi nyumba hzo ziko hivo hivo 🙌
Sio dharau tamisenga huko pipoz zinashida na njaa sana hawana jeuri hiyo ya kusave 700k.

Ukikuta wanaojiweza staili ya mleta mada wanaojua hata hisa ni nini na hayo ma UTT. basi ni baadhi ya halmashauri kama za Daslam hivi au Mwanza na Arusha.Ila majority ni poverty encircled🤗

Hamna hela wala dili za kueleweka, ukitaka kujua tu sehemu hamna hela cheki madereva wa hapo mahali😄😄😄Madereva wa halmashauri 99% wanaplani za kukimbia huko.
 
Back
Top Bottom