Safari ya kujitafuta 2025 inaanzia hapa! Hisa 129,700 za CRDB, NICOL 3864, UTT 400k safari inaendelea

Keep it up bro,
You can make it happen....!!🔥🔥

No one can stop yr dream, unless you want to...
 
Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Hongera mkuu! Kama uko Dar hii miradi yako utatusua! Dar wanakula vifaranga na wanavigombania!
 
Lakini amesema kazini kwake kuna marupurupu yanayofikia 200-300k kwa mwezi na mipango mingine. Sasa hapo kwenye mipango mingine ndipo penye kipato sasa!
 
Lakini amesema kazini kwake kuna marupurupu yanayofikia 200-300k kwa mwezi na mipango mingine. Sasa hapo kwenye mipango mingine ndipo penye kipato sasa!
Labda pengine hayo madili ya magumashi, lakini posho za 300,000/ na salary ya 1M sio nyingi sana kiasi cha kuweza kusevu 700,000/-
 
Nipo kwenye Bus lako, tunatofautiana tu figure ulizoweka, na tunatofautiana miezi ya kula bata. Mimi nakula bata kuanzia 20th December hadi 30th December ya kila mwaka. Na lazima nitoke na familia yangu twende popote nje ya Dsm tukodishe eco homes kwa hizo siku, na ndo kipindi ninachofungulia koo, yaani bia na marafiki sijali hata itumike 500k au 1m kwa siku, hizo siku 10 nazitendea kazi kwakweli, 29th December tunarejea Dar na 30th December namalizia bia za mwisho na marafiki na majirani wa Dar,.kisha 31st December sinusi tena pombe, saa 2 usiku nazima simu na saa 3 kamili nalala, naamka saa 11 alfajiri na ratiba ya siku inaanza kwa jogging for 1hr.

Dear bia na marafiki tutakutana tena December 20th this year 2025
Kuacha kunywa bia sio kujitesa ni kuimarisha afya yako ambayo ni muhimu kuliko bia, tafsili ya wengi yakutokula bata wanaona nikujitesa. Kula mboga zenye mafuta nikuutesa mwili, afya yako na ya familia yako ni muhimu kuliko kula vile mnavyoita vizuri au kunywa bia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…