Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
nina subscribe huu uzi ntausoma na kucomment vizuri bdae ila kwa harakaharaka kiongozi wewe ni mwizi.Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month
nikajua aliongea nae Eva peke yake!!mwanzo 3:2-6
awapi hawa watu si wakuwaamini hata kidogonikajua aliongea nae Eva peke yake!!
mkuu ukisema anampa kila kitu unamaanisha hadi tunda mtumishi anapewa?awapi hawa watu si wakuwaamini hata kidogo
we fikiria unaenda naye kanisani kisha anamkubali mchungaji zaidi yako na anampa kila kitu tena kuzidi wewe!
Sasa hicho ni cha kuuliza? na hivi akina ushahidi mtu akioga!!! sasa wakwame wapi Mchungaji hula kondoo wa zizi lakemkuu ukisema anampa kila kitu unamaanisha hadi tunda mtumishi anapewa?
Mkuu fuatilia nyuzi zangu. Hicho kiasi nilichonacho ni accumulation ya mda mrefu toka 2021. Kuhusu mipigo kila sehemu ipo Unapewa project ya kufanya unaambulia laki 1 2 3 hiyo ni kawaidanina subscribe huu uzi ntausoma na kucomment vizuri bdae ila kwa harakaharaka kiongozi wewe ni mwizi.
Jihadhari pia na manabii na wachungaji feki watakukamua mpaka Senti ya mwisho, usije sema hujaambiwaWakuu,
Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.
Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.
Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.
Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.
Committiments ni kwamba;
-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
- Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
- Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
- Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.
Dah imeniuma sana kumbe unaweza kuwa na mtu anajifanya godly kumbe majangaSasa hicho ni cha kuuliza? na hivi akina ushahidi mtu akioga!!! sasa wakwame wapi Mchungaji hula kondoo wa zizi lake
Dah imeniuma sana kumbe unaweza kuwa na mtu anajifanya godly kumbe majanga
Mkuu bado upo iringa kwenye mashamba ya chai au umeshatokako?Mkuu tupo pamoja hadi huu mwaka uishe. Kujinyima just kwa mwaka mmoja ni kitu gani kwani.
Wasitukatishe tamaa
Mwezi huu umesevu sh ngapiNdugu zangu hisa ndo hizo zinazidi kupepea kwa Kasi ya 5G