Safari ya kujitafuta 2025 inaanzia hapa! Hisa 129,700 za CRDB, NICOL 3864, UTT 400k safari inaendelea

Safari ya kujitafuta 2025 inaanzia hapa! Hisa 129,700 za CRDB, NICOL 3864, UTT 400k safari inaendelea

Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month
nina subscribe huu uzi ntausoma na kucomment vizuri bdae ila kwa harakaharaka kiongozi wewe ni mwizi.
 
nikajua aliongea nae Eva peke yake!!
awapi hawa watu si wakuwaamini hata kidogo
we fikiria unaenda naye kanisani kisha anamkubali mchungaji zaidi yako na anampa kila kitu tena kuzidi wewe!
 
awapi hawa watu si wakuwaamini hata kidogo
we fikiria unaenda naye kanisani kisha anamkubali mchungaji zaidi yako na anampa kila kitu tena kuzidi wewe!
mkuu ukisema anampa kila kitu unamaanisha hadi tunda mtumishi anapewa?
 
mkuu ukisema anampa kila kitu unamaanisha hadi tunda mtumishi anapewa?
Sasa hicho ni cha kuuliza? na hivi akina ushahidi mtu akioga!!! sasa wakwame wapi Mchungaji hula kondoo wa zizi lake
 
nina subscribe huu uzi ntausoma na kucomment vizuri bdae ila kwa harakaharaka kiongozi wewe ni mwizi.
Mkuu fuatilia nyuzi zangu. Hicho kiasi nilichonacho ni accumulation ya mda mrefu toka 2021. Kuhusu mipigo kila sehemu ipo Unapewa project ya kufanya unaambulia laki 1 2 3 hiyo ni kawaida
 
Wakuu,

Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.

Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.

Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.

Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.

Committiments ni kwamba;

-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
  • Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
  • Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
  • Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)

Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.
Jihadhari pia na manabii na wachungaji feki watakukamua mpaka Senti ya mwisho, usije sema hujaambiwa
 
awapi hawa watu si wakuwaamini hata kidogo
we fikiria unaenda naye kanisani kisha anamkubali mchungaji zaidi yako na anampa kila kitu tena kuzidi wewe!
😂😂
 
Ndio maana Uchumi wa Tanzania Unastahimili Ukame...

Ndio Maana Tanzania uchumi wake unakua sana watu KILA MTU LAZIMA AWEKEZE na kuzaa wapiti bila kelele... Hata nyumba zao wanaweka sligboad kuondoa kelele
fredgraph (4).png
 
Ndio maana Uchumi wa Tanzania Unastahimili Ukame...

Ndio Maana Tanzania uchumi wake unakua sana watu KILA MTU LAZIMA AWEKEZE na kuzaa wapiti bila kelele... Hata nyumba zao wanaweka sligboad kuondoa kelele
fredgraph (3).png
 
Ndio maana Uchumi wa Tanzania Unastahimili Ukame...

Ndio Maana Tanzania uchumi wake unakua sana watu KILA MTU LAZIMA AWEKEZE na kuzaa wapiti bila kelele... Hata nyumba zao wanaweka sligboad kuondoa kelele
fredgraph (2).png
 
Ndio maana Uchumi wa Tanzania Unastahimili Ukame...

Ndio Maana Tanzania uchumi wake unakua sana watu KILA MTU LAZIMA AWEKEZE na kuzaa wapiti bila kelele... Hata nyumba zao wanaweka sligboad kuondoa kelele
fredgraph (1).png
 
Ndio maana Uchumi wa Tanzania Unastahimili Ukame...

Ndio Maana Tanzania uchumi wake unakua sana watu KILA MTU LAZIMA AWEKEZE na kuzaa wapiti bila kelele... Hata nyumba zao wanaweka sligboad kuondoa kelele
fredgraph.png
 
Sasa hicho ni cha kuuliza? na hivi akina ushahidi mtu akioga!!! sasa wakwame wapi Mchungaji hula kondoo wa zizi lake
Dah imeniuma sana kumbe unaweza kuwa na mtu anajifanya godly kumbe majanga
 
Ndugu zangu hisa ndo hizo zinazidi kupepea kwa Kasi ya 5G
 
Back
Top Bottom