BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Mwendo mzuri, uko kwenye right track842,000 pekee hadi leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendo mzuri, uko kwenye right track842,000 pekee hadi leo
Kweli kabisa. Mwanzo mgumu ila mbele kweupeAmesema anakula nyumbani, au wewe umejiwekea kanuni lazima unywe chai ofisini na kwamba lazima ule mchana? Watanzania tutoke huku kwenye hi ratiba tunaharibu afya zetu.
Halafu hata anayelipwa laki 5 kwa mwezi anauwezo wakutengeneza malengo yakupata 45m kwa mwaka bila kufanya magendo yeyote mkuu. Dunia kubwa sana, na mwaka ni mkubwa sana, 365days 365ways.....
Ukiondoka wakulungwa watakula pesa zako pamoja na mkeo na kitanda chako watatumia hivyo usijibane sanaUsijitese sana, maisha ya mwanadamu yana mwanzo na yana mwisho. Kula ni muhimu, kuvaa ni muhimu, matibabu ni muhimu, pia kufurai/kula bata ni muhimu; cha kufanya ni kuimarisha vyanzo vyako vya kifedha viweze kukupatia hizo huduma.
Utajitesa leo, kesho unapinduka na gari; wakulungwa wanatumia hela zako bila huruma.
Muhimu tujue kuna kuishi pia, na tunaishi mara moja tu. Usiwalishe watoto mboga isiyokuwa na mafuta kwa sababu ya kujenga.
Bado BOT HAPO MKUU UMALZIE KAZIIIWakuu,
Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.
Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.
Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.
Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.
Committiments ni kwamba;
-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
- Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
- Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
- Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.
UTT KUKOJE MKUU NIMESIKIAA HADI WALEVI JANA WANAKUSIFIAAA PALE MOROGORO ILA WANA MAWEEE EMBU TUPE UBUYU NA KUNAFIKAJEKAJE HUKOOWakuu,
Mwezi january ndo huo unapamba moto, baada ya mapambano makali ya mwaka jana na bata la desemba, sasa narudi ulimwengu wa vita ni vita Mura. Kifupi liwalo na liwe nikipata nipate, nikikosa nikose.
Kifupi mshahara wangu ni 1000k+ as take home. Kwanzia mwezi huu huwa nina tabia ya kusave 700k each month. Na kazini kwetu kuna marupurupu kidogo kwa mwezi hukosi 200k au 300k mbali na mipigo mingine.
Wife nimemfungulia biashara wa wakala wa pesa mitandao ie Mpesa, CRDB etc lengo ni kupunguza ugumu wa maisha huku tukiendelea kujitafuta na biashara inaenda vizuri hatukosi hela ya mboga na mahitaji madogo madogo.
Dhamira mwaka huu ni kukusanya 40ml mbali na savings zangu za awali nilizo zitaja.
Committiments ni kwamba;
-Nafunga kunywa bia from now to Nov mpaka kieleweke
- Kuhusu misosi nitapendelea kula nyumbani na familia.
- Sitoki out kula bata bora nipunguze marafiki coz familia ikinipenda inatosha
- Kuendeleza miradi ya ufugaji hapa nyumbani kwangu ie kuku, bata etc kupunguza makali ya maisha. (Extra time after job hours)
Bata litafunguliwa Nov mwishoni baada ya malengo kukaa sawa😂😂😂
Tukutane DEC mwaka huu kwa mrejesho.