Safari ya kumkomboa mtu mweusi bado ndefu sana

Safari ya kumkomboa mtu mweusi bado ndefu sana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Safari ya kumkomboa mtu mweusi itachukua miaka mingi, maana uhuru wa mtu mweusi upo katika mikono na miguu lakini akili bado imefungwa minyororo.

Naandika haya kwa kuona kuwa, ili taifa liendelee hatuitaji mambo mengi zaidi kufungua akili zetu zilizofungwa minyonyoro.
 
Safari ni. ndefu kuifika pale panapoitwa kilele Cha Asali

Maana tumeaminishwa na kukabidhiwa Uhuru wa mikono na Miguu huku Akili ikiwa imefungwa minyororo
 
Una tahdharishwa kwamba:
Matumizi ya lugha ya unyanyapaa na unyanyasaji au lugha ya kibaguzi(racist language) umegundulika/yamegunduliwa katika uzi huu.
Mchangiaji hapo juu katika uzi huu amekuwa au amekuwa na nia hasi dhidi ya jamii. Umeonywa. Shirikiana kwa uangalifu mkubwa
 
Back
Top Bottom