Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Itabidi usubiri sana.IPO siku ukawa wakishika nchi, wengine watakunya kwenye ndio subirini hakuna marefu yasiyo Na ncha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi usubiri sana.IPO siku ukawa wakishika nchi, wengine watakunya kwenye ndio subirini hakuna marefu yasiyo Na ncha
Barafu, Mungu awabariki nyote ambao mlitoa michango ya namna mbalimbali kumfanya mpendwa wetu Lisu aweze kupata matibabu. Hatuna maneno mazuri ya kusema. Hamkutenda kwaajili ya Lisu bali kwaajili yetu sote tuliopatwa na simanzi kubwa katika tukio hili.
Mungu wetu tunaomba usikie maombi yetu, ni maombi yetu sisi wenye huzuni, siyo maombi ya Tundu Lisu. Kama ulimfufua Lazaro, kama uliwaponya viwete, vipofu na wengine wengi, kwa nini isiwezekane kwa Lisu? Tunajua katika wewe Mungu wetu hakuna usiloliweza, ukitaka, mpendwa wetu anaweza kusimama wakati wowote.
Wewe ulisema, 'Ombeni mtapewa', tunajua wewe ni mwaminifu katika ahadi zako. Tunaomba kwaajili ya uhai na afya ya Mpendwa wetu Tundu Lisu.
Tena ulisema, 'Tafuteni mtapata', tunakutafuta wewe uliye asili ya yote, umjalie uzima na afya ndugu yetu Tundu Lisu, aliyepo kitandani, si kwa mapenzi yako bali kwa mapenzi ya ibilisi.
Bwana wetu ulituambia, 'gongeni mtafunguliwa', tunagonga kwenye nyumba ya mamlaka yako ili mkono wako wenye nguvu ukamguse na kumnyanyua ndugu yetu Tundu Lisu.
Ni mapenzi yetu, ndugu yetu arejee katika hali yake lakini kwa mapenzi yako katika haya mateso anayoyapitia, unaweza kumvusha, hata akatoka akawa bora zaidi kama ilivyokuwa kwa Ayubu. Mapenzi yako yatimizwe, sasa na hata milele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww na family yako muunganishwe kwenye albadir ya kesho!!!Malumbano wanaoanzisha ni chadema wenyewe..wakijibiwa wanaona wanaonewa..ndugai alielezea taifa wingi wa risasi alizopigwa lisu kwenye gari..kubenea akasema ndugai muongo..wakati kitendo tu cha kutaja wingi kule wa risasi ilibidi mumpongeze..maana angeweza pia kukaa kimya..kamsema zito bungeni..zito akagusia lisu..wakati lisu hausiki..Lema nae anamshutumu kuhusu lissu..
Sasa vitu mnaanzisha wenyewe..mkijibiwa mnasema malumbano..basi kaeni kimya uguzeni mgonjwa wenu..ila msidhani shughuli zitasimama kwa sababu ya ugonjwa au kifo cha lisu..hata vikao vya Acacia na timu ya magufuli havijasimama
Kumbe huna passport.sawa mkuu ngoja nitafute passport
sawa kabisa kaka. MUNGU AWABARIKI SANA WOTE MLIOHUSIKA KUOKOA MAISHA YA LISSUInasikitisha sana ila malipo ni hapahapa duniani
Kifo cha lissu!?? Kwamba mnadhani mtampata tena!?Malumbano wanaoanzisha ni chadema wenyewe..wakijibiwa wanaona wanaonewa..ndugai alielezea taifa wingi wa risasi alizopigwa lisu kwenye gari..kubenea akasema ndugai muongo..wakati kitendo tu cha kutaja wingi kule wa risasi ilibidi mumpongeze..maana angeweza pia kukaa kimya..kamsema zito bungeni..zito akagusia lisu..wakati lisu hausiki..Lema nae anamshutumu kuhusu lissu..
Sasa vitu mnaanzisha wenyewe..mkijibiwa mnasema malumbano..basi kaeni kimya uguzeni mgonjwa wenu..ila msidhani shughuli zitasimama kwa sababu ya ugonjwa au kifo cha lisu..hata vikao vya Acacia na timu ya magufuli havijasimama
Kumbe ile "patasi" ilienda India ikiwa imevaa suti na malapa, alafu leo inakuja na kibesi eti ipo smart, watu wasimchezee. shwaini wahed kabisa.
Daah nimecheka sana mkuu "patasi"[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe ile "patasi" ilienda India ikiwa imevaa suti na malapa, alafu leo inakuja na kibesi eti ipo smart, watu wasimchezee. shwaini wahed kabisa.
Waongezee na Malyamungu, Jerry, Sizo na Le mute!Inasikitisha kwakweli. Ndugai kila nikimuangalia simuelewi. Yawezekana haamini kama Mungu yupo