Safari ya Lissu kuelekea Nairobi ilikuwa ni mateso na vilio, Spika Ndugai usitoneshe vidonda

Jana na leo kuna kauli amezitoa sio kauli zinazofaa kutolewa na kiongozi wa muhimili, tena mbaya zaidi ni tambo za kujigamba, na kujiona yeye ndio alpha na omega kwa wanao mzunguka mle mjengoni.
 
Ndugai kawa kama mtoto mdogo. Wenzake wanasikitika yeye ndiyo kwanza anapambanana na wabunge wenzake. Ndiyo maana walimwachia futari. Hana roho nzuri. Katikamajonzi hayo unawezajekupambana na wenzako ambao unajua wana huzuni kubwa hivyo. Nakujigamba kuwa aliyelipia ndege ni waccm. So what? Sisi wengine hatuna vyama lakini tunavijana wetu wengine wako ccm wengine opposition. Je tuwatenganishe? Ingekuwa wewe umesaidia mbona ungejigamba sana?
Acha utoto. Fanya kazi yako. Hata Tulia anakushinda kwa hekima sasa. Yeye siku hizi katulia kweli.
 
hivi VVU vinaharibu akili na uwezo wa kufikiri wa mwanadamu?
Wenye vvu huwa wanakuwa na fungus ya ubongo mwisho wa siku ni kuharibu mfumo wa kufikiri na kuanza kupata hasira hovyohovyo
 

Hongera Mkuu, umefunga propaganda za Polepole na Ndg Supika.
Tujikite kumuombe rafiki yetu Lissu, ili Mwenyezi Mungu amponye katika maumivu anayopitia.

James 5:15; JVC - And the prayer of faith shall save the sick, and the Lord shall raise him up; and if he have committed sins, they shall be forgiven him.
 
Dawa tuifute ccm maana ndo adui wa Tanzania umasikini, ujinga, maradhi wa ugaidi, malaria na UKIMWI.
 
Barafu.....dah as if nilikuwa katika fikra zangu kwa jinsi ulivyoingia ndani ya akili zangu, umeandika huku ukionesha ukweli wa nafsi nimeburudika na andiko lako.

Jumamosi hii ya tarehe 16/09/2017 jamani Watanzania wote wenye mapenzi mema tukamshukuru Mungu kwa kumponya Lissu kwa kuchangia damu katika hospitali, vituo vya afya na dispensari popote pale Tanzania bila ya maandamano .....Baragu nisaidie kuweka bandiko la hii hoja tafadhali...
 
Inawauma hajafa. Halafu umetoka nje ya mada kabisa. Mtoa post ametoa kwa evidence, wewe unaropoka, kwa hiyo kama ndugu yako Ndugai kadanganya unataka asiambiwe.
 
Hiyo nondo imetulia kwa kweli,,,Mungu ndio atatenda haki,,,,Na Malipo ni hapa hapa duniani,,,Mnaofanya haya mambo kumbukeni nyie sio mawe, mtakuja pia ondoka hapa duniani,,,kwa nini ukusudie kumuondosha mwenzako mapema???
 
A Theological Advice!!!Deep inside a Moral Theology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…