Safari ya Lissu kuelekea Nairobi ilikuwa ni mateso na vilio, Spika Ndugai usitoneshe vidonda

Wewe ndiyo umeharibu kabisa na umeegemea upande mmoja umeshatoa hukumu unataka tujadili au tukuunge mkono?, Kwanza hujatueleza haya mateso makubwaa waliyoyapata wakiwa safarini kwenye ndege ni yapi, mgonjwa alisindikizwa na nurse pamoja na daktari toka Dodoma, ambao waliwajibika nw hayo mambo yote yanayohusiana na kucheza kwa kitanda na kushikilia hizo drip za damu, hao wengine wwlitesekaje?, lakini hataka kama walisaidia kuzuia kitanda, ndege inamtikisiko mkubwa kiasi gani cha kutaka kutuaminisha kwamba waliteseka sana kiasi hicho?

Kuhusu kauli ya Job Ndugai kusema kulikua na ndege ya NHIF, alimaanisha ndege iliyokodiwa na bima ya NHIF, ambayo ndiyo bima yenye jukumu la kuwatibia wabunge wote kisheria, hakumaanisha hiyo ndege ni ya NHIF, jaribu kutumia akili, mapenzi yakizidi sana hupoteza busara, punguza mapenzi.

Job Ndugai amelazimka kuyasema hayo baada ya Lema kutuma shutuma akiwa huko Nairobi akizielekeza kwa Ndugai kwamba hajafanya lolote katika kumsaidia Lisu, ilibidi aeleze yale yaliyofanyika ndipo amemtaja aliyetoa dhamana ya hiyo ndege, kama ni kulaumiwa ni Lema, hii habari ya kutomtaja Turky kwa sababu alitoa sadaka, sio kweli, hakutoa sadaka alidhamini na pesa yake imerudishwa

Wabunge wote wana bima ya afya, na kila bima ya afya inataratibu zake, wote waliokwenda kutibiwa walifuata hizo taratibu hatimaye wameenda kutibiwa India, akiwemo Mbatia, kwanini Lisu asitumie bima yake matokeo yake mnaanza kutupa lawama zisizokua na maana yoyote?, kwanini kule Nairobi wamebaki wasindikizaji wengi ambao wanaongeza gharama za matibabu, kama wanatumia pesa zao, kwanini wasirudi na hizo pesa wakamwachia mgonjwa?, ama kweli akili ni nywele.
 
Joto ya jiwe nawe unachemsha, km huwezi kuusoma uzi ni bora usipost chochote, NHIF ni wapi walileta ndege Dodoma? umeoneshwa ma picha kandege kalikuwa huko Dar na hakana marubani, pili huyo Turky hajarudishiwa yeye pesa kwani alitoa? hayoaluweluwe ya ndani ya ndege barafu hakuwepo wewe unachomuuliza atajibuje wakati ameelezea uzoefu wa angani na aliyoyanasa, kumlaumu Lema kuwa Agha Khan Nairobi ni hela yake hata Msigwa na Mbowe, kaa chini jiulize Tanzania tumefikia kutumia silaha za kijeshi kwenye siasa? na sio uendeleze malumbano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu barafu kwa maelezo yako yenye vithibitisho vya kutosha!

Nimekuwa nasema humu kwa muda sasa kuwa huyo Ndugai siamini kama yupo mzima maana tangu aumwe ubongo wake umezidi kwenda fyongo! Kwa jinsi alivyoumwa na kuteseka na ule ugonjwa nilitegemea angerudi akiwa mtu tofauti sana!...kumbe nilikosea. Lakini huyu Mungu wa Danieli na wenziwe akina Meshack & Abednego yu HAI..!! Hatoacha tenda makuu milele!
 
Boss barafu Bandiko lako nimenitoa machozi aisee. So sad. Karma is the BITCH !!!

 
Si sahihi kumkashifu kiongozi mkubwa kama Ndugai . Barafu uwe na hekima na busara, Tabia kama hizi ndio zimesababisha Lissu akakosa msaada wa pesa.
 
Azungumze ukweli, siasa za chuki & dhihaka za nini kwa kiongozi kama yeye?!

Urasimu wa nini katika matibabu ya mtu aliyemiminiwa risasi kiasi kile?! Ukizingatia hadhi ya mgonjwa na mchango wake kwa taifa ?!. Hili liwe funzo la kwanini lazima iwe Apollo?! Kuna swala itikadi, uadui kama ilivyo tokea kwa Lissu , hawezi kulazimishwa tiba ktk hospital iliyojaa ajent wa maadui zake!!

MWISHO:
Hata msiposimamisha majadiliano na acaccia lakini hayana tija. Kama ulisikia vizuri ni majuzi tu, mkuu alilalamikia waliofunga mikataba ya kishenzi. hata ukiwazodoa cdm na mazungumzo ya acaccia lakini usitarajie makuu na kosa ni la serikali yenyewe na si chadema. Na shida ni mikataba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…