Safari ya Maisha ya Kiroho ya Hayati Dkt. John Magufuli

... ha ha ha! Wazee mna hasira kweli kweli. "Mwe na hasira, ila msitende dhambi; Jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka", Efe 4:26; neno hilo likawafariji. Tumwachie BWANA akahukumu.
Kwa Firauni hasira ni hadi gizani, hata ukihadithia au kuhadithiwa ufirauni wake ukikosa hasira tatizo litakuwa na utimamu kuwa ni hitilafu mahali fulani
 

John Pombe Joseph Magufuli

Jiwe , Chuma, Mzilankende Mnyago

Ngosha,
Mwenye uwezo wa kuwafanya watu waishi kama mashetani lakini ana wafuasi wa kumfanyia sala. Sasa sijui wanamuombea au wanamuomba, kama wanamuombea, je vipi kwa wale ambao alikuwa mheshimiwa mungu wao??🤔 Si wataona mnakufuru na kumdhihaki mungu na yesu wao🙆‍♀️
 
Muda huo wa ku copy mambo ya mpuuzi, umeutoa wapi?
Mpuuzi wewe huwezi nipangia muda wangu niutumiaje shenzi type.Ni haki yangu ya kidemokrasia kujipangia muda wangu niutumiaje
 
Mimi ninachojua Jiwe alikuwa muuaji, fisadi na muongo.
 
Tatazo la Watanzania wengi wao hawapendi kuambiwa ukweli! Hata ukikuta Mwanaume au Mwanamke anatembea na Mume au Mwanamke wa Mtu na ukimwambia acha tabia hiyo siyo nzuri basi lazima atakukasirikia maana anaona Kama umnamuingilia kwenye Mambo yake!!!
Ila Watanzania wanafiki sana, yaani mtu anasema kabisa eti Jiwe alisimamia ukweli [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Basi omba Mungu akupeleke huko aliko, utajuta mkuu. Hata huko alipo wengine wanatamani afe pia
 
Mimba za chuki zinawatesa sana Pro Msoga😄!!! Mkubali mkatae Magufuli alikuwa mwamba haswaa hata mkitukana haisaidii sababu hamkuwa na guts za kumtukana akiwa hai.
 
Mimba za chuki zinawatesa sana Pro Msoga[emoji1]!!! Mkubali mkatae Magufuli alikuwa mwamba haswaa hata mkitukana haisaidii sababu hamkuwa na guts za kumtukana akiwa hai.
Ila Jiwe anachukiwa na Watanzania wengi sana , kauli zake zilikuwa balaa, mara hawa wasibomolewe ila wale wabomoleeni yaani ilikuwa tafrani kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…