Safari ya Maisha ya Kiroho ya Hayati Dkt. John Magufuli

Safari ya Maisha ya Kiroho ya Hayati Dkt. John Magufuli

Ndio maana mimi nimeacha kabisa kwenda kanisani.
Mkuu Tindo you better reconsider. Hakuna binadamu anayemiliki kanisa. Ni Kristo peke yake ndiye mwenye kanisa lake. Usitarajie watumishi kuwa watakatifu, wakweli au waelewa kuliko wewe. Hivyo nenda kanisani kwako kaabudu katika roho na kweli na kupuuza (ignore) uzushi (heresy). It’s for your own spiritual health. The Good Lord needs your attention and you have to have His blessings.

Mimi kwa mfano, kuna baadhi ya taratibu na mahubiri nisiyokubaliana nayo katika “kanisa” langu fulani ndani ya KKKT. Huwa nikipata fursa nje ya ibada au katika jumuia naweka mijadala na baadhi ya washirika, wachungaji na wazee kuwaonyesha kwamba baadhi ya vitu wanavyofanya au kuruhusu viko nje ya Neno au misingi ya ibada; havina support ya Neno (Biblia) tena vingine vinakiuka Neno lenyewe. Nashukuru tunaelewana kiasi kikubwa katika facts ingawa inaelekea TATIZO kubwa sana ni madhehebu kuwa kwenye “mashindano ya kidunia” kutaka kujitanua kwa idadi ya washirika, mapato na influence hasa kwa watawala.
 
Hapo ndipo ukristo upatiwa nafasi ya kutukanwa,kusengenywa,kubezwa na zaidi ya yote kupuuzwa.

Sioni ni jinsi gani huyu Mbaguzi,Roho mbaya,Mkabila,Mkanda,Mtu wa visasi,Mtu wa kukatisha maisha ya watu wengine kwa kisingizio chochote kile akipewa nafasi ya kuombewa au vyovyote vile.Anastahili adhabu kubwa kubwa.

Kanisa halipaswi kujiingiza katika uchafu wa mtu kwasababu ya nafasi yake au kwasababu ya ukwasi wake.
Mnao muhukumu Magufuli nanyi mtaukumiwa birafakini
 
Ni kweli ila itikadi zake za kuwanyoosha wadokozi ndio zilikuwa on point
That’s fiction. Hakuna kiongozi duniani anayefanya mambo mazuri kama kunyoosha mafisadi halafu azuie vyombo vya habari kuchunguza na kuripoti; atishe wananchi na kisha aibe chaguzi kuu za nchi wholesale.

Legasi yake kuu: Bunge leo ni CCM >95% tena wengi wameshamgeuka, wanamsemea ovyo kama kawaida yao mtu asipokuwepo.
 
Kwa hiyo unakubali. Pia kuna Matajiri wadokozi wa Mali za Umma!!? Basi hao ndiyo Magufuli alitaka waishi Kama Mashetani kutokana na udokozi wao!!!
Alisema matajiri, hakufafanua, sadist wengi wako hivyo. Wanapenda kuona wengine wakiwa wanapata tabu au maumivu
 
Alisema matajiri, hakufafanua, sadist wengi wako hivyo. Wanapenda kuona wengine wakiwa wanapata tabu au maumivu
Inamaana hadi leo hii wwe hujui kua Africa Matajiri wengi ni wezi na ma dhulumati!!?? Au wwe unaangalia utajiri wao tu,na wala huna shida ya kujua chanzo cha huo utajiri wao!!??
 
Chuki inautesa moyo wako, kasoma seminari halafu asiwe na maisha ya kiroho.
Wajameni hoja nyingine zinatilisha huruma.
Marehemu hakuwa na upendo. Alijaa na kuongea chuki, kuhubiri visasi na kutema vitisho ili aogopwe. Alijaa ukatili na ukandamizaji wa wazi kwa vyombo vya habari na kwa wanaotofautiana nae; eti 'ananyoosha nchi'. Alijaa maigizo ya kishetani na kuchochea uchawa na aina za akina Makonda, Sabaya et all, walioshindana kukomoa wananchi wasiomsujudia. Hayo maombi yenu nyie waseminari wenzie ni kupoteza muda, ubatili mtupu.
KWANI “Kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe.” (Wagalatia 6:5), “kila mmoja wetu atatoa hesabu kwa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.” (Warumi 14:12)
 
Inamaana hadi leo hii wwe hujui kua Africa Matajiri wengi ni wezi na ma dhulumati!!?? Au wwe unaangalia utajiri wao tu,na wala huna shida ya kujua chanzo cha huo utajiri wao!!??
So wewe unataka watu wote wawe masikini na wanyonge kama bwana yule alivyokuwa anahubiri ili hali yeye mwenyewe alikuwa mwizi
 
Back
Top Bottom